Latest Posts
Othman:Madaraka ni amana vyama vya siasa vizingatie demokrasia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Makamu Mwenyekiti wa ATC-Wazalendo Zanzibar, Othman Masoud Othman amesema dhana ya mageuzi ni uwanja mpana, ambapo utekelezaji wake ni kutoka mbali, kuanzia chaguzi za haki na demokrasia ndani ya chama. Othman ambaye pia ni Makamu…
Askari waliotimiza miaka tisa kazini waguswa na Kampeni ya Namthamini
Na Mwandishi Wetu , Jeshi la Polisi- Dar es Salaam Askari wa Jeshi la Polisi waliotimiza miaka tisa (09) kazini depo ya mwaka 2013/2014 (H3) wameguwa na Kampeni ya Namthamini inayoendeshwa na kituo cha Televisheni na Redio cha East Afrika…
Kibaha yaadhimisha Siku ya Usafirishaji kwa kishindo
Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Leo Jumamosi Septemba 16,2023 Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Nickson John, amewaongoza mamia ya wananchi kuadhimisha Siku ya Usafishaji kwa kufanya usafi kwenye Soko la Loliondo kuanzia Saa 12 hadi saa 4 Asubuhi. Pamoja na…
Jenista awataka wananchi Kata ya Mtyangimbole Songea kumchagua mgombea udiwani CCM
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Madaba Songea. Wananchi wa Kata ya Mtyangimbole, Kijiji cha IKalangiro kilichopo Wilaya ya Songea Vijijini wametakiwa kutofanya makosa katika marudio ya uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata hiyo utakaofanyika Septemba 19, mwaka huu na kuombwa kumchagua…
Uamuzi wa Rais Samia wawakosha wakazi wa Nanyamba
Na Immaculate Makilika – MAELEZO Wakazi wa Halmashauri ya Mji Nanyamba Wilaya Mtwara Vijijini wamefurahishwa na uamuzi wa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan wakuitaka Bandari ya Mtwara kuanza kusafirisha korosho. Akizungumza leo wilayani humo katika mahojiano maalum na Afisa wa…
Rais Samia ‘aiponya’ Msalala
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kahama HATUA ya Serikali Kuu kuipatia Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama, Shinyanga zaidi ya Tsh. 4.5 Bilioni, imewezesha halmashauri hiyo kukamilisha majengo yake. Halmashauri hiyo imepanga kuhamia kwenye majengo yake yaliyopo Izengabatogilwe, Kahama mwanzoni mwa Oktoba,…





