JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Biteko : Kutokutatua kero za wananchi kuna kera Rais Samia

📌Ataka Viongozi Serikalini kutatua kero za wananchi na si kusikiliza tu 📌Aagiza viongozi kuhakikisha wanafunzi wote wanaripoti mashuleni kabla ya Machi 📌Awasha umeme Kijiji cha Magodi na Kigandini wilayani Mkinga 📌Apongeza REA kwa ufanisi wa usambazaji umeme mkoani Tanga Naibu…

Uzazi wa mpango ni uwekezaji wenye faida endelevu

Na Stella Aron, JamhuriMedia Uzazi wa mpango ni muhimu kwa maendeleo ya Tanzania, huokoa maisha kwa kusaidia kupunguza magonjwa ya kina mama na vifo, na kuongeza viwango vya kuishi kwa watoto wachanga na watoto. Serikali ya Tanzania inatambua hitaji la…

Matokeo ya kidato cha nne 2023 haya hapa

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA),  limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika Novemba 13 hadi 30, 2023. Matokeo hayo yametangazwa leo Januari 25, 2024 na Katibu Mtendaji wa NECTA Dk Said Mohammed https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/csee/CSEE%202023.htm

Waziri Mkuu akutana na Naibu Waziri Mkuu wa China

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Jumanne Januari 23, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Watu wa China, Liu Guozhong ambaye aliwasili nchini jana Jumatatu Januari 22, 2024…

Mil. 622/- kulipa fidia Njombe kwa kaya 31

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi kutenga kiasi cha Sh.  milioni  622 kwa ajili ya kulipa fidia kwa kaya 31 za wananchi waliopisha ujenzi wa barabara ya Ndulamo-Nkenja-Kitulo Km 42.2 inayojengwa kwa kiwango cha lami….