Latest Posts
‘Maendeleo ni pamoja na kufanyika mabadiliko ya sheria ya habari’
Na Stella Aron,JamhuriMedia,Dar Wadau wa sekta ya habari wamesema kuwa ili kufikia maendeleo chanya katika sekta hiyo ipo haja ya kufanyika kwa marekebisho ya vifungu vya sheria ya habari kandamizi katika sekta hiyo. Hayo yameelezwa na Sylvester Hanga Mshauri Mfawidhi…
‘Tangu uhuru usafiri wetu ulikuwa wa mitumbwi na boti tu’
Na Muhidin Amri,JamhuriMedia,Nyasa Wakazi wa kijiji cha Ndonga, Kata ya Liwundi, Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa, mkoani Ruvuma, wameishukuru Serikali kwa kujenga barabara mpya inayounganisha kijiji hicho na Njambe ambayo imesaidia kuondoa kero za muda mrefu zilizosababishwa na kukosekana kwa…
Matumizi holela ya dawa kupoteza mamilioni ya watu duniani
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Imeelezwa kuwa ifikapo mwaka 2030 watu zaidi ya milioni 10 watakufa kwa kila mwaka kutokana na matumizi holela ya dawa za mifugo ambayo yamekuwa yakisabaishwa vimelea vya magonjwa kujenga usugu. Aidha matumizi ya dawa kiholela ya dawa…
Rais Samia asikiliza kilio cha wanasiasa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema sheria ambazo zinahitaji marekebisho madogo zitafanyiwa kazi haraka huku nyingine zitachukua muda kidogo kulingana na muda wa mchakato wa utekelezaji. Rais Samia amesema hayo leo Oktoba 21,2022 Ikuku…
Tanzania yanadi fursa zake za uwekezaji nchini Ureno
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Dkt. Stergomena Tax amesema Serikali ya Tanzania inaendelea kuboresha mazingira ya Uwekezaji na ufanyaji biashara nchini ikiwa ni pamoja na kuzifanyia maboresho baadhi ya sheria za usimamizi wa biashara ili kuongeza…