Latest Posts
Nini kinafichwa nyuma ya stempu za ushuru?
Na Joe Beda Rupia,JamhuriMedia Mwaka 2017, Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) ilitangaza zaburi ya kimataifa ya usambazaji, ufungaji na uendeshaji wa mfumo wa stempu za ushuru za kielektroniki. SICPA, kampuni ya Uswisi inayomilikiwa na familia iliyoiasisi, ilipata zabuni hiyo na…
Trioni 2.78 kutekeleza miradi ya elimu nchini
Angela Msimbira,JamhuriMedia,Arusha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Innocent Bashungwa amesema Serikali itatumia kiasi cha shilingi trioni 2. 78 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya elimu nchini Ameyasema hayo leo tarehe 24…
Polisi yawashikilia watuhumiwa 15 kwa mauaji, wizi wa mifugo Tunduru
Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi,JamhuriMedia,Tunduru Jeshi la Polisi kupitia kikosi cha kupambana na kuzuia wizi wa mifugo nchini kinawashikilia watuhumiwa 15 waliohusika katika tukio la mauaji ya wafugaji katika kijiji cha Mbatamila Wilaya ya Tunduru Mkoa wa Ruvuma….
Polisi wanasa tena ‘Panya road’ 167 Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar Jeshi la Polisi nchini limewatia mbaroni watuhumiwa 167 ‘Panya road’ ,katika operesheni maalumu inayoendelea katika Jiji la Dar es Salaam ambao wanatuhumiwa kushiriki katika vitendo mbalimbali vya uhalifu. Akizungumza leo Septemba 24,2022 ,Kamishna wa Operesheni na…