Latest Posts
Msanii wa Nigeria kutangaza utalii
Dar e Salaam Na Mwandishi Wetu Msanii nyota wa filamu wa Nigeria, James Ikechukwu Esomugha, maarufu kama ‘Jim Iyke’ anatarajiwa kuwasili nchini baadaye mwezi huu kwa ziara maalumu ya kikazi. Iyke, anayetamba na filamu yake mpya iitwayo ‘Bad Comments’, akiwa…
Tujiandae kwa kumbukumbu za Nyerere, Karume
Waasisi wa taifa la Tanzania, Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume, mwaka huu watafanyiwa kumbukumbu mbili tofauti; lakini zote zikiwa na umuhimu mkubwa. Kumbukumbu hizi zitafanyika kwa kufuatana; Aprili mwaka huu, ambapo kwa Sheikh…
Watoto wa mitaani kujengewa hosteli
ARUSHA Na Hyasinti Mchau Jiji la Arusha limo katika mkakati wa kukabiliana na tatizo la watoto wa mitaani kwa kujenga hosteli maalumu kwa ajili yao. Akizungumza wakati wa hafla ya kupokea eneo linalotarajiwa kutumika kwa ujenzi wa hosteli ‘maalumu’, Meya…
Shamte azungumzia kifo cha Karume
Zanzibar Na Mwandishi Wetu Wakati taifa likijiandaa kwa kumbukumbu ya miaka 50 ya kifo cha Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Mzee Abeid Amani Karume, mwanasiasa mkongwe, Baraka Mohamed Shamte, amesema waliopanga njama za mauaji ni vigogo wa Umma Party. Anasema…
Namna ya kuzungumza mtoto akusikilize, aongee
ARUSHA Na Dk. Pascal Kang’iria Tangu zamani jamii duniani imekuwa ikipitia maisha ya kila namna – yenye uzuri na ubaya ndani yake. Vizazi kadhaa vimepita vikirithishana tamaduni mbalimbali. Sehemu kubwa ya kufanya utamaduni kuwa makini na wenye tija, ni kupitia…
Kilichowaponza Ndugai, Kabudi, mawaziri watano
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Swali la msingi wanalojiuliza Watanzania wengi ni nini hasa kilichowaponza Job Ndugai, Profesa Palamagamba Kabudi, William Lukuvi, Geoffrey Mwambe, Profesa Shukrani Manya na Mwita Waitara? Wanajiuliza wakubwa hawa walikuwa wamesukaje mkakati ambao hapana shaka…