Latest Posts
Ndejembi akerwa na tabia ya waajiri kuficha barua za uhamisho
Na Veronica Mwafisi,JamhuriMedia, Kigoma Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deogratius Ndejembi amekemea tabia ya baadhi ya waajiri katika Taasisi za Umma kuficha barua za uhamisho wa watumishi wa umma ambao Katibu Mkuu,…
Klabu ya Simba yamkana kocha aliyedakwa na dawa za kulevya
Uongozi wa Klabu ya Simba unaujulisha umma kuwa Muharami Said Mohammed maarufu Shilton hakuwa muajiriwa wa klabu yetu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na klabu hiyo leo Novemba 15,2022 imesema kuwa klabu hiyo ilimuomba na kukubaliana na Muharami kuwanoa makipa…
Vifahamu viwanja nane zitakapochezwa michuano ya kombe la Dunia
Zikiwa zimesalia siku chache michano ya kombe la Dunia ianze kutimua vumbi huko mashariki ya kati, unaweza ukawa unavuta picha michuano ya msimu huu itakuwaje! Hivi ndivyo viwanja nane ambavyo michuano hiyo itachezewa hapo nchini Qatar kuanzia Novemba 20, 2022…
Kocha wa Simba na wenzake 9 wadakwa na dawa za kulevya
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA), Gerald Kusaya ametangaza watuhumiwa tisa wakiongozwa na Mmiliki wa Kambiaso Sports Academy, Alhaj Kambi Zubeir Seif pamoja na Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Mwalami…
Halmashauri Mji Kibaha yakadiria kukusanya bil.45/-
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Kibaha Halmashauri ya Mji wa Kibaha, Mkoani Pwani, imekadiria kukusanya sh. bilioni 45.8 kutokana na vyanzo mbalimbali vya mapato yake katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha wa 2022/2023. Akisoma taarifa ya bajeti kwenye kikao…





