Latest Posts
Rais Samia amlilia Malkia Elizabeth II
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na kifo cha Malikia Elizaberth II wa nchini Uingereza, kilichotokea jana Alhamisi Septemba 8, 2022 katika visiwa vya Balmoral nchini Scotland alipokuwa anapatiwa matibabu. Katika ukurasa wake wa Twitter, Rais Samia ameandika, “Nimesikitishwa…
TPA yatekeleza agizo la Majaliwa
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imeikabidhi Kampuni ya Huduma za Meli nchini (MSCL) meli tatu zinazotoa huduma katika Ziwa Nyasa ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa lengo la kuziweka meli hizo katika usimamizi…
Mo Dewji foundation yatoa mil 100 kukabili saratani Muhimbili
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Taasisi ya Mo Dewji Foundation iliyoanzishwa na mfanyabiashara Mohamed Dewji, imetoa msaada wa Sh100 milioni kwa ajili kusaidia matibabu ya watoto wanaosumbuliwa na Saratani. Akikabidhi msaada huo leo jijini Dar es Salaam kwa Taasisi ya Tumaini la…
Prince Charles ndiye mrithi wa Malkia Elizabeth
Wakati tu Malkia amefariki dunia, kiti cha enzi kinapitishwa mara moja bila sherehe yoyote kwa mrithi, Charles, Mkuu wa zamani wa Wales. Lakini kuna hatua kadhaa za kiutendaji – na za kitamaduni ambazo lazima azipitie ili kutawazwa kuwa Mfalme. Moja…