Latest Posts
Ruto ndiye Rais mteule Kenya,Mahakama yatupilia mbali pingamizi la Odinga
Mahakama ya Juu imeona kwamba walalamishi hawakutoa ushahidi wa kutosha kubatilisha matokeo kwa msingi kwamba kiwango cha kikatiba cha asilimia 50 + 1 cha ushindi wa moja kwa moja hakikufikiwa. Mahakama ya Juu imegundua kwamba walalamishi hawakuwasilisha kesi yenye uzito…
Kinana afurahishwa na kasi ya ujenzi wa daraja la Magufuli
Na Mwandishi Wetu,JamhuruiMedia,Mwanza Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amesema Chama kinaridhishwa na mwenendo wa ujenzi wa daraja la JPM Magufuli linalounganisha kati ya Mkoa wa Mwanza na Geita ambalo linajengwa eneo la…
Kinana atembelea shamba la mbegu bora za mahindi Misenyi
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ametembelea shamba la mbegu la Global Agency Farm lililopo Buchurago Bugorora wilayani Misenyi Mkoa wa Kagera. Akiwa shambani hapo, Kanali Mstaafu Kinana alishuhudia shughuli mbalimbali zinazofanyika katika…