Latest Posts
Waitara kushiriki mashindano ya gofu Malawi
Na Meja Selemani Semunyu Wachezaji 12 wa Klabu ya Golf ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ya Lugalo wakiongozwa na Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali George Waitara wanatarajiwa kuondoka leo (Jumatano kuelekea Lilongwe Nchini Malawi kushiriki mashindano ya…
Koyi: Mimi ni Rais halali TCCIA
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Rais wa Chemba ya Biashara,Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), Paul Koyi amesema yeye ni kiongozi halali wa chemba hiyo kwa mujibu wa katiba. Koyi ametoa kauli hiyo siku moja tu, baada ya baadhi ya wanachama wa chemba…
Serikali yachukua tahadhari kujikinga na Ebola
Serikali imesema mtazamo wa nchi ni kuhakikisha ugonjwa wa Ebola uliopo nchi jirani ya Uganda hauingii nchini Tanzania. Kauli hiyo imebainishwa na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Tumaini Nagu wakati akiwa ziarani mkoani Kagera kuangalia utayari wa mkoa huo kukabiliana…
Mauaji ya watu 12 Lindi yasababisha hofu
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Lindi Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, ameliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata mara moja wafugaji waliohusika katika mauaji ya watu 12 Mkoani Lindi. Masauni ametoa kauli hiyo akiwa ameambatana na Waziri wa Mifugo…





