JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Hiki ndicho kinacholitesa taifa letu

Katika miaka 61 ya Uhuru, kinachoitesa Tanzania ni kukosa dira. Awali, falsafa ya TANU na baadaye Chama Cha Mapinduzi (CCM) chini ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, ilikuwa kuondoa maovu yote yaliyotokana na ukoloni na kuwafanya wananchi kujenga uchumi…

CCM si Shwari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Kwa muda mrefu sasa vita ya mamlaka bado inaendelea kuathiri mwenendo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku ikizidi kuchagizwa na vitendo vya fitina, uongo na uzushi. Licha ya kukemewa na hatua mbalimbali za kinidhamu na kimaadili kuchukuliwa…

Mwangamilo awatembelea wahanga wa ajali ya pikipiki hospitali

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na viongozi wa madereva wa pikipiki mkoani humo wamewatembelea wahanga wa ajali za pikipiki na vyombo vingine vya moto katika Hospitali ya…

Ndejembi:Likizo kwa watumishi wa umma nyakati za sikukuu zisiwe kikwazo

Na Veronica Mwafisi,JamhuriMedia Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema likizo za mwaka kwa watumishi wa umma katika kipindi cha sikukuu zisiwe kikwazo cha kutoa huduma kwa wananchi. Akizungumza na Watumishi…

Jafo ataka majengo yawekwe mfumo wa kuvuna maji ya mvua

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira),Dkt. Selemani Jafo ameelekeza majengo yote ya Serikali yanayojengwa katika eneo la Mtumba jijini Dodoma kuwekwa amfumo wa kuvuna maji ya mvua kuepusha athari za kimazingira. Ametoa maelekezo hayo alipofanya…

IGP Wambura ataka kufichuliwa wanaofanya vitendo vya ukatili

Na A/INSP Frank Lukwaro Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura amewataka Watendaji wa Dawati la Jinsia na Watoto kutoa huduma bora kwa wahanga wa vitendo vya ukatili wanaoripoti matukio ya ukatili katika vituo vya Polisi ili kujenga…