Latest Posts
Iran yawanyonga saba kwa mashtaka ya dawa za kulevya, ubakaji
Iran Jumatano iliwanyonga wanaume saba katika magereza mawili nje ya Tehran kwa mashtaka kuhusiana na dawa za kulevya na ubakaji, Shirika la Kutetea Haki za Binadamu limesema, na kuharakisha kile wanaharakati wanachokielezea kama msururu wa kuwanyonga watu katika kipindi cha…
Waziri Mkuu azipongeza Simba na Yanga
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameungana na Watanzania kuipongeza klabu ya Yanga kwa hatua ya nusu fainali waliyofikia katika mashindano ya kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAF). Waziri Mkuu Majaliwa amesema…
Okash awakalia kooni walawiti na wabakaji, atoa onyo kali.
Na Mwamvua Mwinyi,JAMHURI MEDIA Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo ,Halima Okash ,ametoa onyo kali kwa wabakaji na walawiti na kusisitiza zuio la dhamana kwa watuhumiwa hao hasa ambao wamekuwa wakijitamba wanaporejea uraiani baada ya kupata dhamana. Aidha ameeleza,atakayekutwa na hatia…
CCM Bagamoyo yamtaka DC Okash kusimamia kero ya tembo Kiwangwa
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Chama Cha Mapinduzi CCM, Bagamoyo mkoani Pwani, kimemtaka Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Halima Okash kusimamia utatuzi wa kero ya uwepo wa tembo katika kata ya Kiwangwa ambao unadaiwa kuharibu mashamba ya wakulima. Ombi hilo…
Watoto 11,000 huzaliwa na seli mundu kila mwaka nchini
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amezindua huduma za upandikizaji uloto Katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH)huku akieleza kuwa Serikali imewekeza shilingi bilioni 2.7 kwenye huduma hiyo kwa lengo la kuwasaidia…





