JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Uganda yaja kujifunza namna Tanzania ilivyofanikiwa sekta ya mawasiliano

Tanzania imeihakikishia Uganda kuwa itaendelea kuipa ushirikiano katika kujenga uwezo wa usimamizi wa sekta ya Mawasiliano na TEHAMA, sambamba na kudumisha ushirikiano wa kitaalam katika usimamizi wa sekta hizo. Akizungumza wakati alipoukaribisha ujumbe wa Tume ya Mawasiliano Uganda (UCC), ukiongozwa…

Ajali yaua watatu Singida

Watu watatu wamefariki na mmoja kujeruhiwa katika ajali iliyotokea Maonyoni mkoani Singida katika Kijiji cha Kitopeni Halmashauri ya Itigi wilayani Manyoni mkoani Singida, huku mmoja akipatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa ya Mtakatifu Gaspar Itigi. Kamanda wa Polisi mkoa wa…

‘Tuna matumaini chanya ya mabadiliko ya sheria ya habari’

Na Stella Aron,JamhuriMedia TASNIA ya habari inapaswa kuwa na sheria na kanuni rafiki ili kuruhusu kukua na kwamba, kuweka sheria kali na ngumu, kunaua vyombo vya habari lakini kunaacha athari hasi kwa taifa. Kuwepo kwa vyombo vingi vya habari kushindwa…