Latest Posts
Kigoma kuna nini?
KIGOMA Na Mwandishi Wetu Kigoma kuna nini? Hii ni kaulimbiu yenye swali iliyotumika miaka ya 1980 wakati sherehe za Sabasaba zilipofanyika kitaifa mkoani Kigoma. Safari hii imejirudia lakini kwa aina tofauti na sasa ni mashabiki wa Yanga ndio wanaojiuliza Kigoma…
Amchinja mkewe baada ya kukataliwa
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Mgongano wa kimasilahi na kufilisika kwa mume ni miongoni mwa sababu zinazodaiwa kusababisha kifo cha mkazi wa Vigoa, Chamazi, Mwajabu Bakari. Mwajabu amefariki dunia kwa kuchinjwa na aliyekuwa mume wake, Naibu Ramadhani. Akizungumza na…
‘ROMARIO’ Mwanamuziki mwenye vituko jukwaani
TABORA Na Moshy Kiyungi Unapoingia ukumbini kusakata muziki wa bendi ya Msondo Ngoma Classic, hakika utalazimika kushikilia mbavu zako utakaposhuhudia vituko, mbwembwe na vimbwanga vya mpuliza tarumbeta, Roman Mng’ande ‘Romario’. Takriban kila onyesho la bendi hiyo yeye hufanya utundu wa…
Usakatonge ulivyopora suala la Katiba mpya
DAR ES SALAAM Na Pawa Lufunga Ukweli unaojitetea ni kwamba kila Mtanzania mwenye ufahamu wa masuala ya kisiasa na uongozi anahitaji marekebisho ya Katiba yetu. Awe serikalini, awe upinzani au asiye na ufuasi wa chama. Awe Mkristo, Muislamu au asiyeamini…
Wanawake Afrika na rekodi za urais
DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Katika uwanja wa siasa na uongozi Afrika, imekuwa ni nadra sana kwa wanawake kushika nafasi za juu za uongozi wa nchi ikiwamo urais. Itakumbukwa kuwa nchi nyingi za Afrika zilitawaliwa na wakoloni kutoka…
Sakata la tozo miamala ya simu
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Pamoja na mawaziri Dk. Mwigulu Nchemba (Fedha na Mipango) na Dk. Faustine Ndugulile (TEHAMA) kusema kuwa Rais amesikia kilio cha Watanzania, mimi ninasema; “too good too late”! Kwa heshima kubwa ninawaambia wao kuwa; “hilo…