Habari MpyaWaziri Majaliwa akutana na mabango Jamhuri1 year ago1 year ago01 mins Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua Mradi wa Daraja la Mbuchi wilayani Kibiti akiwa katika siku ya pili ya ziara ya Mkoa wa Pwani, Novemba 28, 2022.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Baadhi ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye aliwasalimia baada ya kukagua Mradi wa Daraja la Mbuchi wilayani Kibiti akiwa katika siku ya pili ya ziara ya Mkoa wa Pwani, Novemba 28, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua Mradi wa Daraja la Mbuchi wilayani Kibiti akiwa katika siku ya pili ya ziara ya Mkoa wa Pwani, Novemba 28, 2022. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimina na wananchi wakati alipowasili kwenye kijiji cha Mbuchi wilayani Kibiti kukagua Mradi wa Daraja la Mbuchi akiwa katika siku ya pili ya ziara ya Mkoa wa Pwani, Novemba 28, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Post Views: 9 Post navigation Previous: Tanzania kunufaika na mpango wa usimamizi endelevu wa rasilimali za bahariNext: ‘Tuna matumaini chanya ya mabadiliko ya sheria ya habari’
Polisi waendelea kuwabana wanaovunja sheria, wananchi waomba operesheni 3D iendele Jamhuri15 mins ago 0
Watumishi Ofisi ya Waziri Mkuu watakiwa kutekeleza majukumu yao kwa ubunifu Jamhuri42 mins ago42 mins ago 0