JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Majaliwa:Watalii waongezeka nchini

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema takwimu za mwaka 2021 zinaonesha kuwa watalii wanaokuja nchini Tanzania wameongezeka kwa asilimia 48.6 kutoka watalii 620,867 mwaka 2020 na kufikia watalii 922,692 mwaka 2021. Mheshimiwa Majaliwa amesema mbali na kuongezeka kwa idadi ya watalii…

Rombo kutumia soko la kimataifa kuuza ndizi

Na Mathias Canal, JamhuriMedia,Rombo Ndizi ni zao kubwa la biashara na chakula hivyo likitumika vizuri litabadili uchumi wa wakulima na nchi kwa ujumla wake. Katika kuimarisha sekta ya Kilimo hususani zao la ndizi imeelezwa kuwa kuna umuhimu wa kutumia soko…

Bei ya mafuta ya petroli yapungua

Bei ya mafuta ya petroli na dizeli ya mwezi Oktoba imepungua ambapo kwa Mkoa wa Dar es Salaam petroli itauzwa kwa Sh.2886 huku dizeli ikiuzwa kwa Sh. 3,083 kwa bei ya rejareja Kwa mkoa wa Tanga Petrol itauzwa 2,924 na…

Mil.300/- za wasanii zilizodhulumiwa zarejeshwa akiwemo marehemu King Majuto

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Bodi ya Filamu Tanzania imeunda kamati maalum ya kuhamasisha Watanzania kurejesha utamaduni wa kuangalia filamu katika kumbi za sinema. Hayo yamebainishwa na Katibu Mtendaji wa Bodi hiyo, Dkt. Kiagho Kilonzo leo Jumanne Oktoba 4, 2022…

Amchoma moto mwanaye kwa kudokoa mboga

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mtwara Mkazi wa Kijijii cha Namanjele mkoani Mtwara,Somoe Mohamed anatuhumiwa kumchoma moto mtoto wake wa umri wa miaka mitano kwa madai ya kudokoa mboga. Kwa mujibu wa majirani (jina linahifadhiwa),amesema kuwa wakati akiendelea kufua nyumbani kwake alisikia kilio…