JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kwa nini mazishi ya Malkia Elizabeth II ni mazishi ya karne

Mabilioni ya watu duniani wanatarajia kufuatilia maziko ya Malkia Elizaberth II le huku kukiwa na wageni 2000,viongozi 500 wa kigeni na wahudumu 4,000. Mazishi ya kitaifa ya Malkia Elizabeth II litakuwa tukio kubwa zaidi na la kipekee katika Karne ya…

Washindwa kwenda shule kuhofia kuliwa na tembo

Na Kija Elias,JamhuriMedia,Same Wanafunzi wa shule ya Sekondari Makokane iliyopo Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro, wameshindwa kwenda shule kutokana na makundi ya tembo kuingia katika kijiji hicho yakitafuta maji. Kufuatia hali hiyo Wananchi wa kijiji hicho, wamelazimika kuyakimbia makazi yao…

BREAKING NEWS: Polisi yaua sita ‘Panya Road’ katika mapambano makali

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, limefanikiwa kuwaua wahalifu sita maarufu kama ‘Panya Road’ waliokuwa wakielekea eneo la Goba kufanya uhalifu jana. Kamanda wa Polisi wa Kanda maalum, Jumanne Muliro amesema hayo leo 18,2022, wakati akizungumza na waandishi…