Latest Posts
MIAKA 30 YA VYAMA VINGI: Changamoto na mustakabali kusonga mbele
DAR ES SALAAM Na Samia Suluhu Hassan Leo Tanzania inatimiza miaka 30 tangu turejee rasmi katika siasa za mfumo wa vyama vingi. Katika kipindi hicho taifa letu limepita katika kipindi cha furaha, majonzi, misukusuko na changamoto zote wakati taifa linapoanza…
Ma-DJ warembo wanaosumbua Afrika
NA CHRISTOPHER MSEKENA Hivi karibuni wasichana wamekuwa mstari wa mbele katika kuchagiza mafanikio ya Bongo Fleva, hasa katika upande wa kuchezesha muziki kama ma-dj katika vituo vya utangazaji (redio na runinga), matamasha, klabu na kadhalika. Warembo kama DJ Fetty, DJ…
‘Ni bajeti ya neema kwa wananchi’
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wakati mwaka mpya wa kiserikali, maarufu kama mwaka mpya wa fedha ukianza, Watanzania wanapeleka matumaini yao katika utekelezaji wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2022/23. Julai ya kila mwaka huwa ndio…
NHC yaendelea kunawiri kwa ukwasi
*Mtaji wake sasa wagonga shilingi trilioni 5.4 *Ndilo shirika la umma tajiri zaidi kwa sasa *UN-HABITAT watoa mkopo nyumba nafuu *Warejesha ofisi zao zilizofungwa Tanzania Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ambalo ndilo shirika la umma mama hapa nchini, thamani…
Kauli ya ‘Rais Ganja’ yazua gumzo
Mombasa Na Dukule Injeni Hakuna ubishi, urais Kenya ni mbio za farasi wawili licha ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kupitisha majina manne ya wanaosaka kumrithi Rais Uhuru Kenyatta kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Agosti 9, mwaka huu. Naibu…
Wananchi wakataa kutawaliwa na Malkia wa Uingereza
Na Nizar K Visram Mkutano wa kilele wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth) ulifanyika mjini Kigali, Rwanda Juni 20 hadi 25, mwaka huu. Mwenyekiti alikuwa Rais wa Rwanda, Paul Kagame. Sherehe za ufunguzi wa mkutano ziliongozwa na mwanamfalme Charles akimwakilisha mama…