JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wafanyabiashara Soko la Kariakoo watoa tahadhari

Wafanyabiashara wa masoko ya Mchikichini na Kariakoo wameonya kuwa kuna uwezekano mkubwa wa bidhaa zinazouzwa kwa wingi katika maeneo hayo kupanda bei maradufu kutokana na uhaba wa bidhaa hizo ulioanza kujitokeza. Kwa kiasi kikubwa maeneo hayo ni maarufu kwa biashara…

Tanzania kutoa hati ya madini

Serikali imefanikiwa kutimiza masharti ya itifaki namba tano ya azimio la Dar es Salaam la mwaka 2004 inayoweka utaratibu mzuri wa matumizi ya rasilimali, ikiwemo uchimbaji, uchakataji, usafirishaji na uuzaji wa madini. Kutokana na kutekeleza masharti hayo, Tanzania sasa inaruhusiwa…

Kitambulisho cha Taifa kuunganishwa na kadi ya mpiga kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inajipanga kuingiza taarifa za daftari la kudumu la wapiga kura kwenye mfumo wa Kitambulisho cha Taifa ili ifikapo mwaka 2025 kitambulisho hicho kitumike kupigia kura. Mpango huo umebainishwa na Mkurugenzi wa Habari na Elimu…

Wananchi wawakataa watendaji mbele ya DC

Wakazi wa Kijiji cha Picha ya Ndege wilayani Mkuranga, Mkoa wa Pwani wamemtaka Mkuu wa Wilaya (DC) hiyo, Filberto Sanga, kuwachukua watendaji wa kijiji hicho na kuwapangia kazi sehemu nyingine. Kauli hiyo ilitolewa na mmoja wa wakazi wa kijiji hicho,…

Ofisa Mtendaji ajeruhiwa kwa mkuki

Mtendaji wa Kijiji cha Vuchama Ndambwe, Jeremiah Daniel, amepigwa na kujeruhiwa kwa mkuki akiwa katika utekelezaji wa majukumu ya kiserikali na mkazi wa kijiji hicho anayetambulika kwa jina la Rashid Juma. Tukio hilo limetokea wiki iliyopita nyumbani kwa mtuhumiwa wakati…

KIJANA WA MAARIFA (14)

Amini kile unachotaka kukifanya na ukifanye Imani ni msingi wa mafanikio ya kitu chochote. Muda wowote unapotaka kuanza kufanya kitu iruhusu imani itembee mbele yako, kwani kuamini kwamba unaweza kufanya jambo fulani ni kama garimoshi lililoingia kwenye reli yake, lazima…