Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
December 20, 2022
Habari Mpya
Rais Samia awaapisha Mmuya na Dkt. Abdallah
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia awaapisha Mmuya na Dkt. Abdallah
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Kaspar Mmuya kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Desemba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Hashil Twaib Abdallah kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Desemba, 2022.
Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Kaspar Mmuya akila Kiapo cha Maadili kwa Viongozi pamoja na Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Twaib, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Desemba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Kaspar Mmuya pamoja na Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Twaib, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Desemba, 2022. Wengine katika picha ni, Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson, Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Hussein Kattanga, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Eng. Hamad Masauni, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) Mhe. George Simbachawene
Post Views:
249
Previous Post
Rais Samia ashuhudia utiaji Saini mkataba ujenzi SGR Tabora-Kigoma
Next Post
TAKUKURU yatakiwa kuitangaza mikoa iliyokithiri kwa rushwa
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Habari mpya
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Geita yaupokea mradi wa bilioni 17 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105
Kongamano la ARGe0-C10 kuongeza kasi uendelezaji jotoardhi Afrika Dk Mataragio
Urusi yafanya mashambulizi usiku kucha mjini Kyiv Ukraine
Profesa Mkumbo avutiwa na utendaji wa bandari ya Dar
FCS, LATRA CCC wasaini makubaliano kuimarisha ulinzi na haki ya walaji sekta ya usafiri ardhini
Mfumo wa PAIS kudhibiti migogoro baina wanyamapori na binadamu Babati
Waziri Bashungwa aongoza utiaji saini ujenzi wa daraja la Jangwani
GST kukamilisha upatikanaji wa ithibati vyungu kuyeyushia sampuli za dhahabu
Kamati ya Bunge yaridhishwa utendajikazi Wizara ya Nishati
Shule za Mbeya kufanyiwa ukarabati mkubwa, zitoe mazingira bora ya kujifunzia