JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mbowe afunguka mazito mbele ya Rais Samia

Mwanyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Freeman Mbowe amemwambia Rais Samia kuwa ndani ya serikali na Chama Cha Mapinduzi kuna wahafidhina wanaotamani kukwamisha maridhiano na mchakato wa katiba mpya kuwa hawamtakii mema. Mbowe ametoa kauli hiyo leo Machi 08,2023…

Wanaompinga Rais Samia kuhusu katiba mpya, wanampima

Na Mwandishi wetu JAMHURI Katibu wa BAWACHA Taifa, Carherine Ruge, amesema wanaompiga Rais Samia Suluhu Hassan katika dhamira yake ya kuhakikisha inapatikana Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi ndani ya CCM, hawampingi bali wanampima. Ruge ametoa kauli hiyo wakati…

Ahmed Ally:Tukosoeni hadi nusu fainali

Na Tatu Saad, JAMHURI Baada ya ushindi wa bao 1-0 walioupata jana Simba Sc dhidi ya Vipers ya Uganda, Afisa habari wa klabu ya Simba Sc Ahmed Ally amesema maneno yanayozungumzwa mtaani ni kama Simba Ndio imefungwa jana. Ahmed amefunguka…

Milton Karisa aitamani ligi ya Bongo

Na Mwandishi wetu, JAMHURI Mshambuliaji na nahodha wa timu Vipers ya Uganda amesema yupo tayari kucheza soka la Bongo kwani lina muamko na ushawishi mkubwa. Mshambuliaji huyo ambaye ni muhimu katika kikosi cha Vipers amesema soka la bongo linaopendwa na…

SIMBA NA YANGA KUAMUA ZAWADI ZA CAF

Na Tatu Saad, JAMHURI Shirikisho la Soka Barani Afrika ‘CAF’ limeweka hadharani zawadi kwa Bingwa wa Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na kombe la shirikisho msimu huu 2022/23. Zawadi kwa Bingwa wa Michuano hiyo imewekwa wazi, huku Ligi ya…

VIPERS YAENDELEZA UTEJA KWA SIMBA SC

Na Tatu Saadi, JAMHURI Washiriki pekee wa ligi ya klabu bingwa Afrika kutoka Tanzania  Simba Sc, wameendelea kutembeza kipigo kwa Vipers kwa kuwafunga tena Leo katika uwanja wa mkapa jijini Dar es salaam. Simba Sc wameibuka kidedea kwa ushindi wa bao…