JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Polisi Stakishari katika mgogoro wa baa

DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU   Mgogoro wa kibiashara baina ya wajasiriamali wawili, Jesca Kikumbi na Tausi John wote wa jijini Dar es Salaam umewaingiza baadhi ya askari kutoka Kituo cha Polisi cha Ukonga Stakishari kwenye kashfa ya kuihujumu…

Shonza: Tumieni ujuzi wenu kutengeneza ajira

DAR ES SALAAM NA REGINA GOYAYI (DSJ) Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza, amewataka wahitimu wa kozi za uandishi wa habari nchini kuutumia ujuzi walioupata kwa weledi ili waweze kudumu katika ajira. Akizungumza katika Mahafali ya…

Wajasiriamali wabainisha fursa kwenye taka

DAR ES SALAAM NA ALEX KAZENGA Kuna fursa nyingi za kiuchumi na kimazingira ambazo zimejificha katika taka ambazo kimsingi zinaonekana hazina faida yoyote katika jamii. Hayo yamebainika katika maonyesho ya siku mbili ya wajasiriamali wa mazingira nchini. Katika maonyesho hayo…

Mwenyekiti kizimbani kwa rushwa

Na Aziza Nangwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga, Juma Abed, ametinga mahakamani akikabiliwa na mashitaka mawili ya kushawishi na kupokea rushwa. Mwendesha Mashitaka wa TAKUKURU, Euphrazia Kakiko, amesema wakati akisoma mashitaka dhidi ya mwenyekiti huyo kuwa mtuhumiwa Januari…

Serikali isitishe uamuzi wa kujitoa Mahakama ya Afrika

Hivi karibuni serikali ilitangaza kuwa imeanza mchakato wa kujitoa katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu. Serikali ilieleza kuwa imeamua kuchukua hatua hiyo baada ya kuona hoja ambazo ilizitoa wakati inajiunga na mahakama hiyo hazijafanyiwa kazi. Tunadhani…

KIJANA WA MAARIFA (7)

Ukijifunza, fundisha   Kufahamu mambo bila kuifundisha familia yako ni kuiacha familia hiyo iangamie. Kufahamu mambo bila kuifundisha jamii yako ni kuiacha jamii hiyo ipotee. Kufahamu mambo bila kulifundisha taifa lako, ni kuliacha taifa hilo lipotee. Ukijifunza, fundisha. Ukifahamu mambo,…