Latest Posts
Daktari mbaroni atumia jina la Lukuvi utapeli
Na Kija Elias,JamhuriMedia,Moshi Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro limemtia mbaroni Dk. Wilson Solly kwa tuhuma za kuwatapeli malimilioni ye fedha vijana zaidi ya 76 kutoka mikoa mbalimbali kwa kutumia jina la aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi William Lukuvi….
Mtandao wa wabunge wa kupambana na rushwa Afrika kushirikiana na TAKUKURU
Na James Mwanamyoto,JamhuriMedia,Dodoma Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika tawi la Tanzania (APNAC) Mhe. Cecilia Pareso (Mb) amesema mtandao wao utashirikiana kikamilifu na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) katika mapambano dhidi…
Hawa hapa wachezaji waliowahi kucheza Real Madrid na Atletico
Na Wilson Malima,JamhuriMedia Wachezaji ambao wamewahi kuchezea Real Madrid na Atletco de Madrid, kwa vipindi tofauti kuelekea dabi ya Madrid. Katika msimu wa 2022/23 wa LaLiga Santander, kuna wachezaji kadhaa ambao wamebahatika kucheza mechi ya Atlético dhidi ya Real Madrid, wakiwa na…
Rais Samia amlilia Balozi Paul Rupia
Balozi Rupia (86) amefariki leo asubuhi nchini Afrika Kusini ambapo amewahi kushika nyadhifa mbalimbali kama ofisa katika Wizara ya Mambo ya Nje katika nchi mbalimbali. Pia, aliwahi kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa…





