JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Membe amwaga siri Magufuli alivyomfitini

DAR ES SALAAM Na Dennis Luambano Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (68), hatimaye amefichua mambo yaliyomfanya asielewane na aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli. Membe ambaye ni mmoja wa…

Gambo lawamani

*Baraza la Madiwani Arusha, Mkurugenzi, Mbunge kila mtu na lake *Doita: Mbunge au diwani kutoa maelekezo nje ya vikao ni uchochezi *RC, TCCIA wasema kazi inaendelea, wakagua maeneo mapya ya wamachinga ARUSHA Na Mwandishi Wetu Utekelezaji wa agizo la Rais…

Wananchi wadhulumiwa ardhi yao na mwekezaji

• Wachomewa  nyumba, waibiwa vitu  • Polisi wahusika kusimamia uchomaji nyumba KIBAHA Na Mwandishi Wetu  Wananchi wa Lupunga, Kibaha mkoani Pwani, wameuomba uongozi wa wilaya kuingilia kati kutatua mgogoro kati yao na mwekezaji mwenye asili ya Uarabuni kabla damu haijamwagika….

Bukoba wapinga kuanzisha mkoa wa Chato

*Waeleza ilivyojinyofoa Mkoa wa Kagera mwaka 2005 *Wataka Geita ibadilishwe jina iitwe Chato kumaliza kazi Na Mwandishi Wetu, Bukoba Wabunge na wazee wa Mkoa wa Kagera wamepinga kuanzishwa Mkoa mpya wa Chato kwa kumega wilaya za Bihalamulo, Ngara na kata…

Taratibu tunarejea tulikokuwa kabla

Mmoja wa wasomaji kindakindaki wa JAMHURI amenipigia simu na kuukosoa msimamo wangu kuhusu wachuuzi (wamachinga), akisema ninavyopendekeza watengewe maeneo maalumu, maana yake ninataka tatizo hilo liendelee kukua. Kwa mtazamo wake, uwepo wa wamachinga wengi kiasi kinachoonekana sasa katika miji na…

Hoja ya Afrika moja iliishia wapi?

DAR ES SALAAM Na Pawa Lufunga  Afrika ina historia ndefu inayohusishwa na maisha magumu kutokana na ukosefu wa siasa safi, ajira na matumizi mabaya ya rasilimali zilizopo. Maisha ya Mwafrika kijamii, kisiasa, kiutamaduni na kiuchumi ndiyo yanayoonekana duni kuliko maeneo…