JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndugu Rais hakuna mkamilifu baba

Ndugu Rais, Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere siku zote aliwaita watu wake kwa majina yao wenyewe. Alisikiwa sana. Tujaribu leo, labda tutasikiwa. Palikuwa na mtu katika nchi ya Tanganyika jina lake aliitwa Juliyasi. Mtu huyu alikuwa mkamilifu na…

SUMA JKT LAENDANA NA KASI YA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI

Limejizatiti katika viwanda Limejikita katika miradi ya kimkakati Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT), linaanzisha viwanda vipya na kuboresha viwanda lilivyonavyo ili kuzalisha kwa tija, lengo likiwa ni kuendana na kasi ya Serikali ya Awamu ya…

Miaka minne kazi bado kubwa

Tarehe ya leo miaka minne iliyopita, Dk. John Magufuli, aliapishwa kuwa Rais wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kuapishwa kwake kulimpa muda wa kuandaa dira yenye kuonyesha mwelekeo wa aina ya serikali anayokusudia kuiunda kwa ajili ya kutekeleza…

Watanzania tuwe chachu ya maendeleo yetu

Binadamu huogozwa na hulka, dhamiri na nafsi aliyonayo. Hulka ni tabia ya kujifunza kutoka katika jamaa na jamii yake anamoishi. Dhamiri na akili vinamwezesha kutofautisha mambo ya kutenda na kutotendwa na nafsi inampatia hali ya kujijua kuwa ni binadamu na…

Yah: Tukubali matokeo, sasa tunanyooka

Kuna watu wana msemo kuwa bahati mbaya mambo siyo, lakini sisi wahenga tunaamini hakuna bahati mbaya, bali kuna bahati tu na isivyo bahati.  Sasa kwa bahati mazingira ya maisha yetu yanatufanya tukubali matokeo. Ukweli ni kwamba tumeanza kuyakubali na kunyooka…

Jamii ikatae uzinifu, ikuze maadili

Kijana mmoja alimwendea Mtume Muhammad (Allaah Amrehemu na Ampe Amani) akamwambia: “Ewe Mtume wa Allaah, nipe idhini ya kuzini.” Watu wakamzunguka na kuanza kumuonya. Vipi anamuomba Mtume wa Mwenyezi Mungu ruhusa ya kufanya maasi? Mtume akawaambia: Hebu mleteni karibu yangu. Yule kijana…