JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia: Afrika inahitaji kuongeza juhudi kuendeleza mpira wa miguu

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Bara la Afrika linahitaji kuongeza juhudi zaidi kwa kuongeza jitihada mbalimbali zitakazoendeleza mpira wa miguu. Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Agosti 10, 2022 alipomuwakilisha Mheshimiwa Rais Samia katika ufunguzi wa Mkutano…

Ajinyonga baada ya timu ya Yanga kufungwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Tunduru MFANYABIASHARA aliyetambulika kwa jina la Hery Sanga mkazi wa kitongoji cha Kigamboni, kijiji Biasi, kata ya Nakayaya,Wilaya ya Tunduru, amejinyonga hadi kufa chanzo kikidaiwa ni matokeo mabaya ya mechi ya kirafiki kati ya timu ya Yanga…