JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Adaiwa ‘kumloga’ DC asitumbuliwe

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Chamwino Mwenyekiti wa Kijiji cha Mpwayungu, Chamwino mkoani Dodoma, Gabriel Hoya, amekana tuhuma za kwenda mkoani Tanga kutafuta ‘dawa’ kuzuia ‘asitumbuliwe’. Tuhuma hizo zimetolewa baada ya Hoya kutoonekana kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa na Mkuu wa Wilaya ya…

Gazeti la JAMHURI laibuka kinara tena ubora wa maudhui 2022

Gazeti la JAMHURI linalochapishwa na kusambazwa siku ya Jumanne kila wiki nchini na nchi jirani Afrika Mashariki, limeongoza dhidi ya vyombo vingine vyote vya habari Tanzania Bara na Zanzibar vilivyohusishwa kwenye utafiti wa ubora wa maudhui kwa vyombo vya habari…

Mzimu wa Luis Miquissone ulivyomnasa Percy Tau

Al Ahly ya Misri wanakusudia kuvunja mkataba na mchezaji wa Afrika Kusini, Percy Tau, baada ya mchezaji huyo kupata majeraha katika mechi ya juzi kati ya Al Ahly na Ghazl Al Mahal kwenye mechi ya ligi kuu nchi Misri.  Percy…

Watuhumiwa kesi za ubakaji 223 waenda jela miaka 30

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema kwa kushirikana na Ofisi ya Taifa ya Mashitaka limewafikisha mahakamani watuhumiwa 270 kwa makosa ya ubakaji na watuhumiwa wawili kati yao wamefungwa kifungo cha maisha jela…

TARURA Kibaha yapendekeza bilioni 59.3/- kwa ajili ya miradi ya barabara

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Kibaha WAKALA wa barabara mijini na Vijijini (TARURA) wilaya ya Kibaha , mkoani Pwani imependekeza jumla ya sh.bilioni 59.3 kwa ajili ya kugharimu miradi 26 ya maendeleo ya barabara katika kipindi cha kwa mwaka 2023/2024. Kaimu meneja TARURA…