Latest Posts
Hatimaye, ndoto ya mtoto Hamimu ya kukutana na Rais yatimia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Hayawi, hayawi… sasa yamekuwa. Ndoto ya mtoto Hamimu Mustapha Baranyikwa (15) aliyokuwa akiililia kwa muda mrefu ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan hatimaye imetimia. Hamimu, ambaye alilazwa kwenye Hospitali ya Taifa ya…
Waziri Jafo aasa Watanzania kudumisha amani ili kuenzi muungano
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) ameongoza wananchi wa Mkoa wa Iringa katika kuadhimisha miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuhimiza Watanzania kuuenzi Muungano kwa kudumisha Amani. Akizungumza na wananchi wa mkoa…
Possi:Mafunzo ni muhimu hususani kwa watalamu anga na majini
Na David John, JamhuriMedia, Dar Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi Dkt.Ally Possi amefungua warsha ya siku tano kwa watendaji na wataalamu wanaofanya kazi na Shirika la Uwakala wa Meli nchini (TASAC) katika ukumbi wa kimataifa wa Mikutano…
Wabunge washauri wadau wa habari kujipanga kwa hoja
Mbunge wa Kigamboni Faustine Ndungulile, amewashauri wadau wa Haki ya Kupata Habari (CoRI), kujipanga kwa hoja ili watakapokutana na wabunge watoe ufafanuzi kuhusu mabadiliko ya sheria ya habari wanayoyataka. Hayo ameyasema wakati alipokutana na wadau hao mkoani Dodoma wakati akizungumzia…





