Latest Posts
Gonzalez: Tutashirikiana na Serikali kupambana na vitendo vya ukatili
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Amon Mpanju ameiomba Klabu ya Mpira inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara Simba Sports Club kuungana na Serikali katika kutoa elimu kuhusu Malezi, Makuzi na…
Kibaha yaongoza ukusanyaji mapato, Bumbuli yashika mkia
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Uchambuzi umeonesha kuwa, katika mwaka wa fedha 2021/22, halmashauri 100 zimekusanya kwa asilimia 100 au zaidi ya lengo la mwaka, halmashauri 78 zimekusanya kati ya asilimia 80 hadi asilimia 99 na halmashauri saba zimekusanya kati ya asilimia…
Majaliwa: Fuateni na simamieni falsafa ya Rais Samia
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka washiriki wa kozi fupi ya 13 ya viongozi watambue, wafuate na waisimamie falsafa ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan iliyojielekeza katika kuwahudumia watanzania. Mheshimiwa Majaliwa amesema lengo kuu…





