JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Zanzibar kuwafungulia kesi za uhujumu uchumi wafanyabiashara wanaoficha vyakula

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itawachukulia hatua kali ikiwemo kuwafungulia kesi za uhujukumu uchumi wafanyabiashara watakaobainika kwa makusudi wanaficha vyakula na bidhaa kwa lengo la kuwapandishia bei wananchi. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la…

NHIF yakabidhi majina ya walimu waliogushi nyaraka

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umekabidhi kwa Tume ya Utumishi ya Walimu jumla ya majina 78 ya walimu waliobainika kughushi nyaraka mbalimbali za wategemezi wao pamoja na matumizi mabaya ya kadi za matibabu. Walimu…

Bola Tinubu atangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais wa Nigeria

Mgombea wa chama tawala Bola Tinubu ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliokumbwa na utata nchini Nigeria. Mwanasiasa huyo mkongwe mwenye umri wa miaka 70 alipata asilimia 36 ya kura, matokeo rasmi yanaonyesha. Mpinzani wake mkuu Atiku Abubakar alipata asilimia…

Bei ya mafuta ya petroli na dizeli zapaa

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta zitakazotumika kuanzia leo Jumatano Machi 1, 2023 huku bei ya petrol na dizeli zikipaa ikilinganishwa na Februari. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi…

Maafisa elimu,kata Kibaha Mji wajengewa uwezo masuala ya VVU,ukatili

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Kibaha Halmashauri ya Mji Kibaha,imeendesha semina ya kuwajengea uwezo maafisa Elimu kata,walimu walimu wa shule za msingi na sekondari juu ya masuala ya VVU/UKIMWI mahala pa kazi kwa lengo la kuondoa unyanyapaa na ukatili wa kijinsia. Siwema Cheru…

DC Nachingwea aamuru madarasa kuvunjwa haraka

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mohamed Hassan Moyo ameamuru kuvunjwa kwa baadhi ya madarasa ya shule ya msingi Majogo katika Kijiji cha Litula, Kata ya Marambo, kutokana na uchakavu wa majengo ya shule hiyo ambayo yanahatarisha maisha…