Latest Posts
Israel yashitakiwa kwa mauaji ya wanahabari
Na Nizar K Visram Shireen Abu Aqleh alikuwa mwanahabari wa Kipalestina aliyeajiriwa na Shirika la Utangazaji la Al Jazeera hadi Mei 11, 2022 alipopigwa risasi na kuuawa na wanajeshi wa Israel. Aliuawa akiwa kazini akiripoti habari za wanajeshi hao kuvamia…
Lipumba na tuzo ya Mo Ibrahim kwa Rais Samia
MOROGORO Na Everest Mnyele Tuzo ya Mo Ibrahim ilianzishwa mwaka 2007 na bilionea wa Sudan, Mohamed ‘Mo’ Ibrahim, kupitia taasisi yake kwa madhumuni ya kuwatuza viongozi wa Afrika, hasa marais na wakuu wa serikali walioonyesha uongozi uliotukuka katika nchi zao. …
Polisi wanatumia vibaya kosa la kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu
Na Bashir Yakub Yapo mambo ambayo kwa mujibu wa sheria si kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu. Hata hivyo polisi kwenye vituo vyao wamekuwa wakilazimisha mambo hayo kuwa kosa hilo la kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kwa sababu wanazozijua wao, mojawapo…
‘Ifumuliwe’
*Wadau wadai sekta ya uvuvi nchini imeoza *Wasema kuna mtandao wa mapapa unaofadhili uvuvi haramu *Wamwomba Waziri Mashimba Ndaki kuifumua sekta nzima *Mwenyewe atangaza vita, operesheni maalumu yaanza Dar es Salaam Na Alex Kazenga Wadau wa uvuvi nchini wameiomba serikali…
Utata ununuzi magari TALGWU
*Fedha za gari la Katibu Mkuu zilitosha kununua jipya lakini likanunuliwa la mtumba *Lakutwa lina kadi mbili zikionyesha limetengenezwa mwaka 2015 na kusajiliwa mwaka 2014 *Katibu Mkuu asema hakumbuki mchakato wa ununuzi ulivyofanyika *Asema wananunua magari ya mtumba kwa sababu…
Nape: Sheria ya habari inabadilishwa mwaka huu
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema katika mwaka huu wa fedha serikali itahakikisha inakamilisha mchakato wa mabadiliko ya Sheria ya Huduma za Habari (MSA) ya Mwaka 2016. Akihitimisha michango ya wabunge…





