Latest Posts
Kinana ashauri barabara nne Dar-Tunduma
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana emesema umefika wakati kwa Tanzania kuwa na barabara nne kila upande kutoka Dar es Salaam hadi Tunduma kwa ajili ya kufungua fursa zaidi za kiuchumi….
NMB yaendelea kuwa kinara wa ufanisi nchini Tanzania
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Benki ya NMB imeendeleza ufanisi wake kiutendaji katika kipindi cha nusu ya kwanza ya mwaka 2022. Faida kabla ya kodi imeongezeka kwa asilimia 54 na kufikia Shilingi bilioni 298 ikilinganishwa na Shilingi bilioni 193 ya kipindi kilichoishia…
Makamba: Hatusambazi umeme vijijini kwa ajili ya kuwasha taa tu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa Nishati,January Makamba amesema kuwa, Serikali haisambazi umeme vijijini kwa ajili ya kuwasha taa peke yake bali kuchagiza pia shughuli za kiuchumi ikiwemo uanzishaji wa viwanda. Amesema hayo baada ya kutembelea kiwanda kinachochakata parachichi ili…
MOI wafanya upasuaji wa kibingwa kwa wagonjwa 7113
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) kwa kipindi cha mwaka mmoja imefanikiwa kufanyia upasuaji wa kibingwa wagonjwa 7113 wa tiba ya mifupa ikiwa ni idadi kubwa ukilinganisha na wagonjwa 6793 katika mwaka uliopita huku wagonjwa wa…
Balozi Umoja wa Ulaya amtembelea Jaji Mkuu
Na Mary Gwera,JamhuriMedia BALOZI wa Umoja wa Nchi za Ulaya (EU) Tanzania, Manfredo Fanti amemtembelea Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamis Juma kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali ya utoaji haki nchini. Akizungumza na Jaji Mkuu ofisini kwake katika…
‘Kosa atakalofanya mwandishi wa habari liwe la kwake’
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia IMEELEZWA kuwa kosa la mwanahabari limekuwa likichukuliwa kama kosa la taasisi ya habari na kusababisha madhara makubwa ya kufungwa kituo ama gazeti tofauti na ilivyo kwenye tasnia nyingine nchini. Hayo yamesemwa na Deodatus Balile, Mwenyekiti wa Jukwaa…





