JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mwonekano daraja la JPM Mwanza

Muonekano wa maendeleo ya ujenzi wa daraja la JPM, Kigongo -Busisi Mkoani Mwanza ambalo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alikagua ujenzi wake, Oktoba 16, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Likuyuseka Namtumbo wanufaika na elimu ya usalama barabarani

Na Julius Konala,JamhuriMedia,Namtumbo WANANCHI na wanafunzi wa kijiji cha Mtonya kilichopo katika Kata ya Likuyu Seka wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma, wamenufaika na mafunzo ya elimu ya usalama barabarani kupitia ufadhili wa kampuni ya Mantra Tanzania kwa kushirikiana na Jeshi la…

Serikali kurejesha ari ya usomaji vitabu nchini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Serikali imesema itafanya jitihada za uhamasishaji wa usomaji wa vitabu nchini. Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe wakati akifunga tamasha la 31 la vitabu lililomalizika jana katika…

Ari, bidii na uzalendo imetuletea ushindi dhidi ya Ufaransa

Na Shamimu Nyaki- India Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Pauline Gekul ameipongeza timu ya Taifa ya Wanawake chini ya Miaka 17 (Serengeti Girls) kwa ushindi wa magoli mawili kwa Moja dhidi ya Ufaransa. Mechi hiyo ya Kundi D…

Serengeti Boys yaichapa Uganda kwa matuta

Tanzania imefanikiwa kumaliza nafasi ya tatu kwenye michuano ya CECAFA U17 baada ya ushindi wa penalti 4-1 dhidi ya Uganda Uwanja wa Abebe Bikila Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia.