JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Msako wa mifuko ya plastiki kuanza Jumatatu

Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia,Dar MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameelekeza operesheni ya kukamata Mifuko ya plastiki iliyokatazwa kuanza rasmi Jumatatu ya August 29 kwenye Masoko yote ya Mkoa huo. RC Makalla ametoa maelekezo hayo wakati wa kikao…

Moi yasogeza huduma za kibingwa Mtwara

Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia Huduma za kibingwa za Taasisi ya tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) zitaanza kutolewa katika hospitali mpya na ya kisasa ya rufaa ya kanda Mtwara ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Serikali la kusogeza huduma za kibingwa karibu…

Watoto 53 wazaliwa siku ya Sensa Zanzibar

Watoto 53 wazaliwa siku ya Sensa Zanzibar Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Zanzibar MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM),mkoa Mjini (Kichama), Talib Ali Talib, ameitaka jamii kujenga tabia ya kutembelea wagonjwa wakati wa matukio maalum ya kitaifa ili kuimarisha imani na mappenzi miongoni…

Ashikiliwa kwa tuhumza za kumbaka mtoto ndani ya gari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi Jeshi la Polisi mkoani Katavi linamshikilia Afisa Mipango Miji wa Halmashauri ya Mpimbwe Dickson Mwenda (37) kwa tuhuma za kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 15 mkazi wa Kibaoni. Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi Ali Makame…