Latest Posts
Tuanze kuuza wachezaji nje
Mwaka 2016 wakati tunakwenda kuivaa Nigeria, wachezaji wa Tanzania wanaocheza nje karibu wote waliitwa kuja kulikabili jeshi hilo linalotamba katika soka Afrika. Ila kilichotokea ilikuwa aibu. Wengine walikuwa hawajulikani, hata TFF hawawajui. Tukaanza kuulizana kama huyu kweli ni wa kwetu…
Miaka minne ya machozi, jasho na damu Chadema
DAR ES SALAAM NA ALEX KAZENGA Uchaguzi wa ndani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) uliokamilika wiki iliyopita umekipatia chama hicho safu ya uongozi katika ngazi zote huku Mwenyekiti wake wa taifa, Freeman Mbowe, akiapa kuendeleza mapambano ya kisiasa…
Uchumi wa gesi bado gizani
DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Safari itakayowafikisha Watanzania kuanza kupata faida kubwa zitokanazo na uchumi wa gesi bado inazidi kuwa ndefu kutokana na vikwazo kadhaa vinavyoibuka kila wakati. Wakati wa kilele cha vuguvugu la mgogoro wa ujenzi wa bomba…
Ripoti yafichua ufisadi wa kutisha jumuiya ya watumia maji
MOSHI NA CHARLES NDAGULLA Ripoti ya ukaguzi maalumu uliofanywa na wakaguzi wanane kutoka Ofisi ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro kwenye Jumuiya ya Watumiaji Maji ya Kirua Kahe (KKGWST), imefichua mambo ya ajabu, ukiwamo ufisadi na mkandarasi kulipwa…
Mwendokasi wakiri kuzidiwa
DAR ES SALAAM NA AZIZA NANGWA Kampuni inayoendesha mradi wa mabasi ya mwendokasi jijini Dar es Salaam, UDART, imekiri kuzidiwa wingi wa abiria kutokana na uchache wa mabasi inayoyamiliki. Kampuni hiyo imekiri kuwa msongamano wa abiria katika mabasi na abiria…
Serikali yataka sekta ya umma kushindanishwa tuzo za mwajiri bora
DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Serikali imetoa mapendekezo ya kushirikishwa kwa taasisi za umma katika mashindano ya kumtafuta mwajiri bora wa mwaka kuanzia mwakani. Tangu mwaka 2015 Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), kimekuwa kikitoa tuzo kwa mwajiri bora kila…



