JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mafanikio katika akili yangu (8)

Toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: “Aisee, kumbe mchungaji alikuwa akiniambia ukweli kuwa wewe ni mwandishi mzuri,’’ alizungumza profesa huku akitaka mara baada ya Mariana kumaliza kuangalia gazeti ampatie pia. Mariana alipofungua ukurasa wa tisa wa gazeti akakutana na picha…

Kutoka kuuza kahawa Kariakoo hadi chapuo la kuwa mbunge (1)

Wapo ambao walimsifia na wengine wakamponda wakati alipoamua kuhama kutoka kwenye lebo ya Wasafi na kuamua kusimama kivyake kama msanii anayejitegemea.  Lakini hiki alichokifanya msanii Harmonize ni moja ya mambo ambayo yanaonyesha kukua kwa msanii ingawa asipocheza vema gemu inaweza…

Huku Simba, kule Chalenji, tutampata mkali wetu?

NA CHARLES MATESO Bilionea wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ bado ana kazi kubwa pamoja na ‘sifa’ nyingi za kuwekeza katika uwanja wa Simba Complex, uliopo Bunju, Dar es Salaam. Utazalisha nini? Hilo ndilo swali la msingi la kujiuliza. Una vigezo…

Bilionea Friedkin alipa

Kampuni za bilionea raia wa Marekani, Dan Friedkin, zilizonaswa kwenye kashfa ya ukwepaji kodi, zimeweka Sh bilioni 50 kwenye akaunti maalumu ya Serikali ya Tanzania. Habari za uhakika zinaonyesha kuwa pamoja na kulipa kiasi hicho, kuna fedha nyingine nyingi zilizoingizwa…

Shetani anapokuwa malaika na malaika kuwa shetani – (2)

Endelea na uchambuzi wa hukumu ya kunyongwa hadi kufa iliyotolewa kwa mwalimu mmoja mjini Bukoba baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumuua mwanafunzi wake kwa kumchapa fimbo. Dereva hulaumiwa kwa mwendo kasi baada ya ajali kutokea na huenda angelaumiwa…

Serikali yatahadharishwa kuhusu gesi

Serikali imetahadharishwa kuwa kucheleweshwa kwa makubaliano na wawekezaji katika mradi wa kiwanda cha kuchakata gesi asilia (LNG) kunaweza kuiingiza nchi kwenye hasara ya kutonufaika ipasavyo na rasilimali ya gesi asilia. Hayo yamebainishwa na wataalamu wa masuala mbalimbali yanayohusiana na gesi…