Latest Posts
RAGE AWACHANA NA KUWAPA USHAURI CECAFA, AWAKINGIA KIFUA YANGA
Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage, amewashauri CEFACA kutoyachukulia mashindano ya KAGAME kama bonanza na badala yake yafuate ratiba. Rage ambaye aliwahi kuiongoza Simba kabla ya ujio wa utawala wa Evans Aveva, amewashauri CECAFA kupitia Katibu…
DAWASCO YATAKIWA KUWEKA MITA ZA KIELEKTRONIKI
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa akizungumza na wafanyakazi na viongozi wa Shirika la Majisafi na Maji taka Dar es Salaam (DAWASCO) wakati wa ziara ya kujitambulisha mapema leo ofisi za DAWASCO. Picha zote na Cathbert Kajuna –…
Serikali itengeneze matajiri wapya
Na Deodatus Balile, Mtwara Leo naandika makala hii nikiwa mjini Mtwara. Nimefika Mtwara Ijumaa asubuhi. Ni mwaka wa tatu sasa tangu nimetoka Mtwara. Naikumbuka Mtwara ya mwaka 2015, taarifa za ugunduzi wa gesi zilipoenea kila kona. Nakumbuka magari makubwa niliyokuwa…