Latest Posts
Ndugu Rais, Arusha kunani?
Ndugu Rais, kumekuwa na mfululizo wa habari zisizoisha kuhusu ujambazi na majambazi katika misitu ya pori la Vikindu. Vikindu kama ilivyo Mkuranga yenyewe ambayo ni wilaya mojawapo katika Mkoa wa Pwani, kwa kweli ni Dar es Salaam. Karibu kabisa na…
Ndugu Rais, Arusha kunani?
N dugu Rais, kumekuwa na mfululizo wa habari zisizoisha kuhusu ujambazi na majambazi katika misitu ya pori la Vikindu. Vikindu kama ilivyo Mkuranga yenyewe ambayo ni wilaya mojawapo katika Mkoa wa Pwani, kwa kweli ni Dar es Salaam. Karibu kabisa…
Je, Waafrika watarajie nini kutoka kwa Trump?
Uchaguzi umemalizika nchini Marekani; na Donald Trump ametangazwa kuwa mshindi. Huu ni uchaguzi ambao ulisusiwa na asilimia 43 ya wananchi ambao inaelekea hawakuwa na muda au hawakutaka kupoteza muda wao. Trump ametangazwa kushinda ingawa amepata kura 61,166,063; wakati mpinzani wake,…
Tanzania kuna demokrasia gani? (3)
Profesa Ibrahim Lipumba alikaa chini akatafakari akaamua kubwaga manyanga, akaandika barua ya kjiuzulu uenyekiti wa CUF. Angebakia na msimamo wake huo huo – ndio kanuni za uungwana – “stick to you words”. Ghafla anasema hee jamani eee mie bado nautaka…
Nampongeza Waziri Mkuu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshatimiza mwaka mmoja tangu ashike wadhifa huo. Ukimtazama usoni, unamuona Majaliwa tofauti na yule aliyeonekana siku jina lake likisomwa bungeni Dodoma kushika wadhifa huo. Huyu ni Majaliwa aliyejaa msongo wa kazi nyingi alizokubali kuzibeba kwa ajili…
Yah: Maoni ya wananchi ya miswada mbalimbali ya sheria inayopitishwa
Kwa kawaida, Mtanzania ninayemjua mimi, kalelewa katika mazingira ya kuhoji kila kitu hata ambacho jibu lipo wazi, atahoji ili apate jibu la pili ambalo halina tofauti na jibu la kwanza, Mtanzania anaitumia vizuri demokrasia hata kama anajua wazi kuwa inamaliza…