Latest Posts
BHOKE 362
Ni kweli tuna matatizo mengi – kuanzia ukosefu wa ajira, elimu duni, kilimo duni, huduma duni za afya, miundombinu duni, ukosefu wa maji safi na salama kwa watu wetu, demokrasia changa, utawala dhaifu na kumomonyoka kwa maadili kwa baadhi ya…
Je, unajua shehena ya mafuta, gesi inavyohudumiwa bandarin
Na Mwandishi Maalumu Makala ya wiki hii katika mfululizo wa makala za bandari, mwandish shehena za mafuta na gesi zinavyohudumiwa katika bandar Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), hususan katika Bandari ya Shehena za mafuata huagizwa na Petroleum Bulk Procureme ambao…
Jaji anyang’anywa jalada la mauaji Moshi
Na Charles Ndagulla, Moshi Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Moshi, Aishiel Sumari, amenyang’anywa jalada la kesi ya mauaji ya aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari ya Scolastica, Humphrey Makundi (16), JAMHURI limebaini. Hatua hii…
Utawala wa sheria utatuepusha ya Makonda
Na Deodatus Balile Wiki tuliyoimaliza imekuwa na matukio mengi. Tumesikia kifo cha Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa Hospitali ya Rufaa Bugando, Mtawa Susan Bathlomeo. Kifo hiki kimeacha maswali mengi. Wapo wanaosema amejirusha, wapo wanaosema amerushwa kutoka ghorofani. Mpaka sasa…
UN yabisha hodi Uganda
Umoja wa Mataifa (UN) umezitaka mamlaka za kisheria nchini Uganda kuitisha uchunguzi huru dhidi ya machafuko yaliyotokea nchini humo na kusababisha kukamatwa na kuteswa kwa wabunge, akiwemo nyota wa zamani wa muziki, Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine. Mkuu wa…
Ratiba Taifa Stars balaa
NA MICHAEL SARUNGI Mabadiliko ya ratiba yanayofanywa kila mara na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kushirikiana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ni miongoni mwa changamoto zilizoshindikana kupatiwa ufumbuzi huku klabu zikiendelea kuumia kwa kulazimishwa kuandaa bajeti ya…





