JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndugu Rais na haya ndiyo maombi ya watu wako

Ndugu Rais kwa jitihada zako binafsi wengi wameona nidhamu katika kazi imeanza kurejea. Utendaji kazi kwa baadhi ya viongozi katika awamu iliyopita ulikuwa ni wa hovyo sana! Wananchi wanaona leo unatumbua hapa, kesho unapalilia pale na ukiona vipi, unasema liwalo…

Uchawi upo au haupo? Uchawi upo

Ndugu msomaji, sikulazimishi kuamini ninachokiamini mimi, ila ninakushawishi kukitafakari ninachokiandika. Mjadala huu ni maoni na mtazamo wangu siyo tamko la dini fulani na siy tamko la gazeti hili la JAMHURI. Ndugu msomaji, kumbuka kwamba hakuna mtu mjinga kuliko mwingine, na…

Tahadhari kuhusu anemia

Kama una anemia, damu yako haiwezi kusafirisha hewa ya kutosha ya oksijeni kupeleka katika sehemu mbali mbali za mwili wako. Sababu kubwa la tatizo hili ni ukosefu wa madini ya chuma mwilini. Mwili unahitaji madini ya chuma kutengeneza ‘hemoglobin’. Hemoglobin…

Mfahamu mchoraji asiye na mikono

Ni siku ya Jumamosi, saa tano asubuhi, ninaikamilisha safari yangu kwenda nyumbani kwa Abdul Urio, mlemavu ambaye ameweza kupambana na changamoto za maisha bila kukata tamaa, huku akichukia vitendo vya kuomba. Ili kufika kwake, ilinilazimu kutoka nyumbani kwangu Kimara Mwisho,…

Sioni faida za kuwakamata

Wale wanaofanya rejea ya hali ya kisiasa nchini mwetu watakumbuka Augustino Mrema alivyokuwa na nguvu kubwa kisiasa mwaka 1995. Wapo ambao wanaamini hadi leo kuwa kama si mbinu na ushawishi wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, historia ya…

Je, katiba inanyumbulika? -(2)

Naam, hii ni sehemu ya pili na ya mwisho ya mjadala kuhusu kauli ya Rais mstaafu wa Serikali ya Awamu ya pili nchini, Alhaj Ali Hassan Mwinyi, aliyoitamka katika salamu za Idd el Fitr, Jumatatu, Juni 26, 2017 Jijijni Dar…