JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Utumishi wa umma usigeuzwe adhabu

Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma (TAMISEMI), imetangaza kuzuia safari za watumishi wa umma katika ofisi za mikoa, wilaya na mamlaka za Serikali za Mitaa kusafiri nje ya vituo vyao vya kazi. Sababu kuu iliyotolewa na Ofisi ya…

KIJANA WA MAARIFA (13)

Tazama kile kisichofanywa na wengine na ukifanye Kila unakopita, kila unakokwenda utakutana na watu wanafanya mambo yanayofanana. Kufanya mambo yanayofanana na wengine ni ishara kuwa unachokifanya kina ushindani mkubwa. Kanuni za biashara zinasema, kama wazalishaji ni wengi, wanunuzi wanakuwa wachache…

Uamuzi wa Busara (12)

Wiki iliyopita katika toleo hili la Uamuzi wa Busara tulisoma jinsi watu wanavyolinganisha hali ya kupata uhuru na hali ilivyokuwa kipindi cha mkoloni. Wiki hii ni mwendelezo wa tulipoishia. Endelea… Azimio la Arusha ni jibu la aina ya maswali. Azimio…

Kwaheri Kanali Kabenga Nsa Kaisi‌

Maisha binafsi ya Kanali Kabenga Nsa Kaisi yalijulikana kwa watu wachache sana, lakini maisha yake ya kikazi yalijulikana vizuri sana katika sehemu zote alizowahi kufanya kazi. Wanaomfahamu na waliowahi kukumbana naye kikazi wanamwelezea kwamba alikuwa ni ‘jembe’ la aina yake…

Elimu ya uraia ni muhimu kabla ya uchaguzi (1)

Hivi karibuni Tume ya Uchaguzi imetangaza na kualika taasisi na asasi mbalimbali wanaotaka kutoa elimu ya uraia kwa wapiga kura waombe kufanya hivyo kwa tume. Ni utaratibu mzuri, tena utasaidia sana wananchi kulielewa suala zima la uchaguzi. Kwa jinsi hali…

Uchumi unakua kwa kasi – Benki Kuu

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema uchumi wa nchi unaendelea kukua kwa kasi pamoja na kuwapo changamoto zinazotokana na kudorora kwa hali ya uchumi wa dunia ambazo zimesababisha kuyumba kwa biashara na uwekezaji duniani. Katika toleo la hivi karibuni la…