Latest Posts
Tumepataje amani, tunaidumishaje?
Kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia afya njema na amani tele ndani ya Taifa letu na katika jamii na familia zetu. Kusema kweli Mwenyezi Mungu ni mwema sana kwetu ndiyo maana tunatakiwa tumshukuru kila wakati na kulisifu jina lake takatifu…
Hatari hii kuwakuta Watanzania 70,000
Watanzania takribani 70,000 kati ya 800,000 wanaotumia dawa za kufubaza makali ya virusi vya Ukimwi (ARVs) huenda wakapoteza maisha ifikapo mwaka 2017. Hatua hiyo inatokana na Serikali kutenga kiasi cha asilimia 9.1 pekee katika bajeti ya sekta ya afya ya…
Lubuva kumfuata wakili Kivuitu?
Jumapili iliyopita Oktoba 25, mwaka huu ilikuwa ni siku ya kihistoria kwa Watanzania waliojitokeza kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu hapa nchini kwa kuwachagua viongozi wanaowataka katika nafasi ya rais, ubunge na udiwani. Uchaguzi huu umetawaliwa na matukio mengi ambayo yanatoa…
Uchaguzi umeisha, sasa tufanye kazi
Katika baada ya kipindi hiki cha miezi miwili hakika tumeshuhudia mtifuano wa wanasiasa waliochuana kutangaza sera na ahadi ili kupata nafasi ya kuongoza nchi. Sera zote zililenga kumkomboa Mtanzania dhidi ya maadui watatu wa tangu Uhuru ambao ni ujinga, maradhi…
Haki za binadamu bila haki za wazee
Kwa mara ya kwanza nimeshiriki sherehe za maadhimisho ya siku ya Haki za Binadamu Afrika. Ilikuwa Oktoba 21, 2015. Kwa kweli ilikuwa mara yangu ya kwanza kusikia sherehe hizo na nashukuru kualikwa nami nikapata kushiriki katika kilele cha sherehe ile. …
Kikwete na uteuzi dakika za mwisho
Rais Jakaya Kikwete, wiki ijayo atakuwa ameingia kwenye orodha ya marais wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa kiongozi aliyechaguliwa mara mbili, na kufanikiwa kumaliza kipindi chake cha miaka 10 salama, si busara sana kuendelea kumjadili au kumkosoa. Watu…