JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Magazetini leo Tarehe 11

Ni asubuhi nyingine tena na habari kubwa kwenye Magazeti ya Tanzania June 11, 2018 kuanzia ya, Udaku, Michezo na Hardnews kujionea yote makubwa yaliyoandikwa.

MTANZANIA KUTUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA MAREKANI

  MMOJA wa wataalam na watafiti wa magonjwa ya akili nchini, Profesa Slyvia Kaaya, ni miongoni mwa watu sita watakaotunukiwa shahada za heshima na Chuo Kikuu cha Dartmouth cha Marekani leo.   Prof. Kaaya, wa Chuo cha Sayansi ya Afya…

BAADA ya Simba kumtimua Kocha Mkuu, Mfaransa, Pierre Lechantre, mabosi wa timu hiyo wamefikia uamuzi wa kuikabidhi timu hiyo kwa Mrundi, Masoud Djuma Irambona ambaye atasaidiwa na mkongwe, Selemani Matola.   Djuma ambaye ndiye kocha msaidizi wa Simba kwa sasa,…

Felix Wazekwa alitumia ndumba kuvuta mashabiki wa muziki

MOSHY KIYUNGI Félix Wazekwa ni mwanamuziki mwenye mbwembwe wakati akiwa jukwaani, akiimba huku akiongoza safu ya wanenguaji. Mtindo wa unenguaji wanaoutumia ni wa aina yake, ambao haulingani na mitindo mingine yoyote ya wanamuziki wa huko Jamhuri ya Kidemkrasia ya Kongo…

Viatu havibani, havipwayi vinatosha Na Angalieni Mpendu “Kweli nimeomba nipumzike kwa sabab

Na Angalieni Mpendu “Kweli nimeomba nipumzike kwa sababu, nimekitumikia chama changu muda mrefu, nimeona niachie damu mpya. Nimependa nipumzike, lakini hayo mengine yanayoandikwa ni ya kupuuza.” Ni kauli thabiti iliyojaa hiari na uungwana; na iliyoshiba haki usawa na ahadi kutoka…

Jeshi la Zima Moto Yapewa Tuzo ya Heshima

JESHI la Zimamoto na Uokoaji limepokea tuzo ya cheti cha heshima kwa kutambua mchango wao katika kupambana na majanga ya moto na uokoaji hapa nchini kutoka katika Taasisi ya Wazalendo na Maendeleo.   Tuzo hiyo imepokelewa na Kamishna Jenerali wa…