JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

MHASIBU WA SIMBA KIKAANGONI

Shirikisho la soka Tanzania TFF imewapeleka kwenye kamati ya maadili viongozi wanne kwa kughushi na udanganyifu. Viongozi walioshitakiwa kwenye kamati ya maadili ni msimamizi wa kituo cha Mtwara Dunstun Mkundi, katibu wa chama cha soka mkoa wa Mtwara Kizito mbano,…

WAZIRI TIZEBA ATEMBELEA NALIENDELE

Jumla ya miche ya Mikorosho Million10 imezalishwa na Taasisi ya utafiti wa Kilimo NALIENDELE Iliyopo mkoani Mtwara kwa kushirikiana na Bodi ya Korosho Tanzania CBT kwa ajili ya kusambaza katika mikoa yote inayozalisha Zao la korosho

Haya Hapa Magazeti ya Leo Januari 16, 2018

 Kama upo mbali na meza za magazeti mtaani kwako basi husipitwe na kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo Jumanne Januari,16, 2018 nimekuekea hapa

Wafukuzwa Kwenye Ardhi Yao Kupisha Wachina

Wananchi katika Kijiji cha Nyasirori, Butiama mkoani Mara, wanalalamika kuondolewa katika ardhi yao kupisha kampuni ya uchimbaji dhahabu bila kulipwa fidia. Wameuomba uongozi wa juu wa Serikali kufika Nyasirori kuona namna walivyoonewa na kampuni hiyo ya ZEM Co. Ltd ambayo…

Watu 20 Wameuawa Katika Mapigano Libya

Watu 20 wameuawa kufuatia mapigano yaliyotokea kati ya makundi ya wanamgambo hasimu katika mji mkuu wa Libya, Tripoli. Mapigano hayo yamesababisha kusitishwa kwa safari za ndege, katika uwanja wa kijeshi wa Maitiga, ambao ndio wa pekee wa kimataifa mjini Tripoli….

TFRA: WASAMBAZAJI WALICHANGIA KUCHELEWESHA MBOLEA

Wakati Rais John Magufuli `akimkaanga’ Waziri wa Kilimo, Dk Charles Tizeba, Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) imeokoa jahazi kwa kuchangia usafirishaji wa mbolea kutoka jijini Dar es Salaam kwenda mkoani Rukwa. Januari 8, mwaka huu, Rais Magufuli aliagiza…