JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Biashara zinahitaji utaalamu, sio kupapasa

Kwa muda mrefu sasa, nimejijengea utamaduni wa kujisomea vitabu. Sisomi kila aina ya vitabu, isipokuwa ninapenda sana vitabu vya biashara na uchumi (finance, economic, entrepreneurship and business), vya uhamasisho na shuhuda (motivational and inspirational) na vinavyohusu ustawi wa kiroho na kimaisha (spiritual and personal improvements). Mara chache sana huwa nasoma vitabu vinavyohusu siasa hasa zile za kimataifa.

Kuta za ‘Oysterbay’ hazitazuia hasira za masikini

Sakata la usafirishaji gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam lilipoanza, sikusita kuunga mkono madai ya wana-Mtwara. Kuna kundi la viongozi na wananchi waliothubutu kupotosha ukweli wa madai ya wananchi hao.

FASIHI FASAHA

Tunakubali rushwa ni adui wa haki? (3)

Katika sehemu ya pili ya makala haya, nilionesha jitihada za Serikali katika kuzuia na kupambana na rushwa nchini, kwa kutunga sheria na kuunda vyombo vya kukabiliana na tatizo hilo.

Mtendaji Mkuu OSHA matatani

Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dk. Akwilina Kayumba, anahusishwa na matumizi mabaya ya madaraka na ya fedha za umma.

Wanawake wamsononesha Waziri Mkuu

 

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesononeshwa na idadi ndogo ya wanafunzi wa kike, katika Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST).

Ni ujinga CHADEMA kupinga uzazi wa mpango

Desemba 31, 2012 Rais Jakaya Kikwete alitangaza matokeo ya sensa ya watu na makazi, iliyofanyika Agosti mwaka huo. Rais Kikwete alitangaza kwamba kwa mujibu wa matokeo ya sensa hiyo idadi ya Watanzania ni 44,929,002.