JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Polisi wapozwa kwa posho nono

Baada ya kilio cha muda mrefu kuhusu kulipwa ujira unaoendana na mazingira magumu ya kazi zao, hatimaye Serikali imetimiza kile kilichokuwa kikipigiwa kelele na wabunge kuhusu kuwalipa askari polisi posho ya kujikimu, JAMHURI imebaini. Askari wa jeshi hilo, mwishoni wa…

NEC haina mamlaka kumtangaza aliyeshindwa

Leo (Jumamosi Oktoba 10) naandika makala hii ikiwa zimesalia siku 15 kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika. Uchaguzi Mkuu utafanyika Oktoba 25, siku ya Jumapili. Kanisa Katoliki tayari limetangaza kuwa ibada ya Jumapili kwa baadhi ya majimbo itafanyika Jumamosi ya Oktoba…

Tumuenzi Mwalimu Nyerere kwa Uchaguzi huru, wa amani

Watanzania na walimwengu wiki hii wanafanya kumbukizi ya miaka 16 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Ni muda mrefu tangu alipofariki dunia, lakini bado wapenda amani na maendeleo wanaendelea kumkumbuka na kumuenzi. Kumbukizi ya mwaka huu,…

Mabadiliko ya Mwalimu Nyerere yanapotoshwa

Kesho ni Oktoba 14, Watanzania katika maeneo mbalimbali nchini, watakutana iwe katika ibada maalum, kumbukizi au katika mazungumzo ya kumkumbuka Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliyefariki dunia tarehe kama hiyo mwaka 1999. Tarehe hiyo, Watanzania walipata mfadhaiko mkubwa…

Tabia ya utu ya Mwalimu Nyerere

Tunaingia mwaka wa 16 bila ya kuwa na Mwalimu Nyerere. Oktoba, 14; Jumatano, 2015 siyo muda mfupi, lakini nchi hii bado inamkumbuka sana Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Tunamuombea kwa Mwenyezi Mungu, roho ya mzee wetu ipumzike kwa…

Mzee Abdallah: Sherehe za kwanza CCM zilikuwa chungu kwa Nyerere

Wakati Taifa likifikisha miaka 16 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, watu mbalimbali wanaendelea kumkumbuka Rais huyo wa kwanza na muasisi wa Taifa letu, kulingana na kila mmoja alivyomjua. Lakini mengi ya yanayotajwa kwa Nyerere ni…