Latest Posts
JWTZ: Hizi ni rasharasha
*Wasubiri wenzao A. Kusini, Malawi zianze za masika
*Kamanda: Matumaini ya Wakongo ni makubwa mno
*Waziri wa Ulinzi asema hali za vijana nzuri Brigedi ya Jeshi la Umoja wa Mataifa (UN) la Kulinda Amani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) inayoongozwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), ipo salama na inajiandaa usiku na mchana kuhakikisha amani inarejeshwa katika eneo hilo. Habari za uhakika zinaeleza kwamba operesheni rasmi inatarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu baada ya vikosi kutoka Afrika Kusini na Malawi, kuungana na wenzao wa JWTZ ambao tayari wapo eneo hilo.
Wauza ‘unga’ waanza kutajwa
Wakati Watanzania wengi wakiwa wameamua kuwaanika hadharani nguli wa biashara ya dawa za kulevya, Balozi wa Tanzania nchini China, Philip Marmo, naye amepasua ukweli wa mambo akisema hali inatisha.
Watu 10,262 wakacha ARVs
Watu 10,262 wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU) na Ukimwi mkoani Mwanza, hawajulikani waliko kwa zaidi ya miezi mitatu sasa baada ya kutohudhuria kliniki ya kutoa dawa hizo.
Jeshi la ‘bodaboda’ latembeza mkong’oto wilayani Geita
Jeshi lisilo rasmi la vijana zaidi ya 60 wanaofanya kazi ya kubeba abiria kwa kutumia pikipiki (bodaboda), huku wakiimba kibwagizo cha ‘wapigwe tu’, wameteka mtaa na kutembeza kipigo kikali kwa abiria wao mmoja.
MAUAJI YA BARLOW
Malele aendelea kuteseka Muhimbili
Maendeleo ya matibabu ya Mohamed Malele aliyetangaza siri za mtandao unaodaiwa kuhusika kumuua Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Liberatus Barlow, ni kitendawili.
Tutelekeze wabunge, tuwawezeshe polisi
Wiki hii nimewaza na kuwazua. Kwa furaha nimepokea mrejesho kutoka kwenu wasomaji wangu. Hakika nimefurahi jinsi mlivyolikubali gazeti JAMHURI, na jinsi mawazo tunayoyatoa mnavyoyaunga mkono. Nasema asanteni sana na mkihisi tumekosea, msisite kutusahihisha.
- Katimba ataka watanzania wenye changamoto za mirathi kutumia huduma za RITA
- Serikali kujenga mtambo wa kuchenjua dhahabu Mwakitolyo Shinyanga
- ‘Rushwa janga kubwa linaloharibu mfumo wa utoaji haki’
- Mambo: Demokrasia haijengwi kwa mashinikizo, vitisho
- DC Mpogolo: Sekondari Kitunda itakamilika kabla ya shule kufunguliwa
Habari mpya
- Katimba ataka watanzania wenye changamoto za mirathi kutumia huduma za RITA
- Serikali kujenga mtambo wa kuchenjua dhahabu Mwakitolyo Shinyanga
- ‘Rushwa janga kubwa linaloharibu mfumo wa utoaji haki’
- Mambo: Demokrasia haijengwi kwa mashinikizo, vitisho
- DC Mpogolo: Sekondari Kitunda itakamilika kabla ya shule kufunguliwa
- Mchengerwa : Tanzania hatutaki kuwa soko duni la dawa
- Mndolwa akagua bwawa la ujenzi Mkomanzi, ujenzi wafikia asilimia 85
- Meya Kibaha KIBAHA aitaka DAWASA Kibaha kuacha kigugumizi, utatuzi kero ya maji Viziwaziwa
- EWURA, TRA kuimarisha ushirikiano
- DC Mpogolo: Ilala wanafanyakazi kwa umoja na mshikamano
- Waziri Kombo awasilisha ujumbe maalum wa Rais Dk Samia kwa Sultan wa Oman
- Serikali kuanzisha jukwaa la kidigitali kwa vijana
- Serikali yasisitiza usalama ,mapato mpakani Mutukula
- Uongozi wa APRM wakutana na viongozi wa vyuo vikuu
- 𝗠𝗸𝘂𝘁𝗮𝗻𝗼 𝘄𝗮 𝗱𝗵𝗮𝗿𝘂𝗿𝗮 𝘄𝗮 𝗠𝗮𝘄𝗮𝘇𝗶𝗿𝗶 𝗜𝗖𝗚𝗟𝗥 – 𝗣𝗦𝗖 𝗙𝗿𝗮𝗺𝗲𝘄𝗼𝗿𝗸 𝘄𝗮𝗵𝗶𝗺𝗶𝘇𝗮 𝗷𝗶𝘁𝗶𝗵𝗮𝗱𝗮 𝘇𝗮 𝗽𝗮𝗺𝗼𝗷𝗮 𝘇𝗮 𝗻𝗰𝗵𝗶 𝘇𝗮 𝗔𝗳𝗿𝗶𝗸𝗮