JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kikwete awakoroga wagombea urais

KAULI mbili zilizotolewa na Rais Jakaya Kikwete juu ya kushika wadhifa huo mkubwa nchini, zimewachanganya baadhi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliotangaza na wale wanaotajwa kuwania kumrithi.

Putin anakuja Tanzania

LICHA ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kusuasua kuthibitisha kuhusu ujio wa Rais wa Russia, Vladimir Putin taarifa za uhakika zinasema kwamba mwamba huyo wa kimataifa atatua nchini Februari, mwakani.

Nyalandu aichongea Ikulu kwa Marekani

*Aona Pinda hana msaada, awatafuta TAHOA

*Alalama wenzake serikalini wanamhujumu

Na Mwandishi Maalumu

Obama anataka niwe Rais Tanzania-Waziri

*Wabunge wakataa ‘hongo’ ya safari ughaibuni aliyowaahidi

*Ripoti aliyowasilisha yatupwa, wasema imejaa ubabaishaji

*Msanii aliyekuwa Marekani na Nyalandu, Aunty Ezekiel anena

Hivi kweli Kaburu ni kirusi Simba, soka la Tanzania?

KWENYE wallet (pochi ya kutunzia fedha) ya kada wa klabu ya Yanga, Sudi ‘Tall’ Hussein pamoja na kuchukua mambo mengine ndani yake kuna kipande cha gazeti la michezo la MWANAspoti.

Werrason alivyokonga mashabiki wa muziki

Werrason Dima Makanda ni mmoja wa wanamuziki wa Kongo wenye washabiki wengi sana hapa nchini na Afrika kama si duniani kiujumla.