Latest Posts
Bagamoyo wamegewa neema nyingine
*Vijiji 20 kugawiwa fedha, chakula, elimu
Wakati bado mjadala wa upendeleo wa wilaya yake ukiendelea kumwandamana Rais Jakaya Kikwete, mradi mwingine wa mabilioni ya shilingi umepelekwa katika vijiji 20 vya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Bila kudhibiti NGOs Loliondo haitatulia
Kwa mara nyingine, Loliondo imetawala kwenye vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi. Sina desturi ya kuitetea Serikali, lakini hiyo haina maana kwamba inapoamua kufanya jambo la manufaa kwa vizazi vya sasa na vijavyo, nishindwe kuitetea.
BAADA YA KUANIKA MADUDU…
Ofisi ya CAG sasa yasambaratishwa
*Naibu CAG aondolewa, Utouh atakiwa ajiandae kung’atuka
Hasira za watendaji kadhaa wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Mashirika ya Umma na taasisi mbalimbali dhidi ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, zimeanza kuzaa matunda baada ya kuwapo mpango wa kuwang’oa viongozi wake wakuu.
NuKUU ZA WIKI
Nyerere: Miiko ya uongozi
“Siku hizi fedha ndio sifa kubwa ya mtu kuchaguliwa kuwa kiongozi. Miiko ya uongozi ambayo ni jambo la lazima katika kila nchi duniani, haipo tena hapa nchini.”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Dk. Wande alilia mshikamano Simba
*Ahofu mgogoro wa Simba utaathiri soka nchini
Mwanachama wa siku nyingi wa Wekundu wa Msimbazi, Simba Sports Club ya Dar es Salaam, Dk. Mohamed Wande, ametaja mbinu pekee ya kuinusuru klabu hiyo isididimie kisoka kuwa ni mshikamano wa wanachama na wachezaji.
Udini sasa nongwa (5)
Katika makala iliyopita kwenye safu hii, tuliandika kwa makosa kuwa makala ile ingekuwa hitimisho. Tena kukawa na kosa lililoonyesha kuwa ilikuwa sehemu ya tano. Usahihi ni kwamba hii ndiyo sehemu ya tano na ya mwisho katika mfululilo wa makala hii…
- Prof.Shemdoe aelekeza magari 14 ya usimamizi wa miradi ya TACTIC kufanya kazi iliyokusudiwa
- Mradi wa kufunga mifumo ya umeme jua maeneo ya visiwani kwa bei ya ruzuku wazinduliwa
- Kihenzile apongeza ujenzi wa meli nne Bandari ya Karema Katavi
- Ukraine yashambulia Jamhuri ya Udmurtia nchini Urusi
- Dk Jafo awezesha elimu ya ufundi akabidhi vyerehani vinne chuo cha FDC Kisarawe – Mzenga
Habari mpya
- Prof.Shemdoe aelekeza magari 14 ya usimamizi wa miradi ya TACTIC kufanya kazi iliyokusudiwa
- Mradi wa kufunga mifumo ya umeme jua maeneo ya visiwani kwa bei ya ruzuku wazinduliwa
- Kihenzile apongeza ujenzi wa meli nne Bandari ya Karema Katavi
- Ukraine yashambulia Jamhuri ya Udmurtia nchini Urusi
- Dk Jafo awezesha elimu ya ufundi akabidhi vyerehani vinne chuo cha FDC Kisarawe – Mzenga
- Mwigulu : Fedha za miradi ya maendeleo sio siri
- DAS Kahama aeleza umuhimu wa nishati ya umeme ya kupikia
- Dk Mwigulu azindua shule mpya ya sekondari ya Mbatakero
- Wakulima wa pamba washauriwa kuacja kilimo cha mazoea na kulima kwa tija zaidi
- Dk Nchimbi afanya mazungumzo na Balozi wa Qatar nchini
- Waziri Mavunde aongoza kikao kutatua mgogoro mgodi wa Ililika – Nyarugusu
- TAKUKURU yakutana na wadau sekta ya afya Bunda
- Mzabuni Manyoni kizimbani kwa tuhuma za kutoa nyaraka za uongo na kughushi
- DC Bunda awaasa wadau sekta ya afya kutoa ushirikiano kwa TAKUKURU
- Mbunge wa Tunisia afungwa miezi nane jela kwa kumdhihaki rais