JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Bondia Matumla kuzichapa na bondia kutoka Namibia Paul Amavila Februari 28

Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es Salaam BONDIA Amiri Matumla,anatarajia kupanda ulingoni Februari 28, mwaka huu, kupambana na mpinzani wake kutoka Namibia, Paul Amavila. Akizungumza na Waandishi wa habari Jijini Dar es salaam leo, Feb 25, 2025 na Mkurugenzi wa Mafia…

Waziri Gwajima : Bado kunahitajika msukumo mkubwa kutoa elimu ya unyanyasaji Arusha, Manyara

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Maendeleo ya Jamii , Jinsia ,Wanawake na Makundi Maalumu Dk Dorothy Gwajima amesema bado kunahitajika msukumo mkubwa wa kutoa elimu kwa jamii katika mikoa ya Arusha na Manyara,ambayo bado kiwango cha unyanyasaji ni…

DBS yapanga kupunguza ajira 4,000 kwa miaka mitatu kutokana na AI

Benki kubwa ya Singapore, DBS, imetangaza mpango wa kupunguza ajira 4,000 ndani ya kipindi cha miaka mitatu ijayo, hatua inayotokana na kuongezeka kwa matumizi ya teknolojia ya akili mnemba (AI) katika shughuli zake. Kupunguzwa kwa ajira kutafanyika kupitia njia za…

Mwendesha Mashtaka wa ICC awasili DRC kwa uchunguzi wa uhalifu wa kivita

Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), Karim Khan, amewasili katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kwa lengo la kuimarisha juhudi za kuchunguza uhalifu unaoripotiwa kufanyika katika maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo. Ziara yake inafanyika wakati…

Msaada wa kisheria wa Mama Samia wawafikia wanafunzi Chalinze

Na Mwamvua Mwinyi, JammhuriMedia, Chalinze Baadhi ya wanafunzi kutoka jimbo la Chalinze, mkoani Pwani, wamejitokeza katika kampeni ya msaada wa kisheria ya MAMA SAMIA, kutoa changamoto zinazowakabili katika malezi na matunzo ili kupata ushauri wa kisheria na ufumbuzi. Vilevile, baadhi…

Serikali imeimarisha ushiriki wa wanawake katika uongozi na shughuli za kiuchumi – Kapinga

📌 Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani atoa wito wa kushikamana Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema kuwa Serikali imeboresha mazingira ya wanawake nchini ili waweze kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kiuchumi, maendeleo ya Tanzania na kushika nafasi za uongozi. Mhe….