Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, bungeni jijini Dodoma,
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Ackson, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali · Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi, Bungeni jijini Dodoma
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Mbunge wa Babati Vijijini, Daniel Sillo, Bungeni jijini Dodoma, Juni 27, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

By Jamhuri