KitaifaRais Mwinyi akutana na viongozi wa bima Jamhuri2 years ago2 years ago01 mins Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimsikiliza Kamishna wa Mamlaka ya Bima nchini Tanzania Dk.Baghayo Saqware (wa pili kuli) wakati wa mazungumzo na ujumbe aliofuatana nao leo wakati walipofika Ikulu Jijini Zanzibar .Picha zote na Ikulu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akipokea kitabu cha muongozo wa mamlaka ya usimamizi wa Bima Tanzania kutoka kwa Kamishna wa Mamlaka ya Bima nchini Tanzania Dk.Baghayo Saqware, wakati wa mazungumzo na ujumbe uliouongoza wakati walipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo baada ya Mazungumzo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) alipokuwa akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na ujumbe ulioongozwa na Kamishna wa Mamlaka ya Bima nchini Tanzania Dk.Baghayo Saqware (wa tano kushoto) wakati walipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo. Post Views: 10 Post navigation Previous: Mataifa nje ya Afrika yaomba kujiunga na wazalishaji almasiNext: Rais Samia apokea ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Comoro
Waziri Riziki : Wanawake Tanzania wamewezeshwa manunuzi ya umma kielektroniki Jamhuri2 days ago2 days ago 0
Mafanikio ya ziara ya Rais Samia aliyofanya Doha nchini Qatar na New Delhi India Jamhuri6 months ago6 months ago 0