Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 5, 2022
Habari Mpya
Rais Mwinyi azungumza na vyombo vya habari
Jamhuri
Comments Off
on Rais Mwinyi azungumza na vyombo vya habari
Mwandishi wa Habari wa Star TV Nd,Abdalla Pandu akiuliza suala kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa mazungumzo na Wahariri na Waandishi wa Habari na vya vyombo vya Serikali na Binafsi leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 05/09/2022
Waandishi wa Habari na Wahariri vya vyombo mbali mbali vya Serikali na Binafsi wakimsikiliza
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) alipozungumza nao leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, kuhusu masuala mbali mbali ya kuleta maendeleo kwa Taifa letu.[Picha na Ikulu] 05/09/2022
Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Zanzibar leo Nd,Ali Haji Mwadini (kushoto) na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Nd,Hassan Khatib Hassan wakiwa katika mazungumzo ya Wahariri na Waandishi wa Habari wa vyombo mbali mbali vya Serikali na Binafsi chini ya mwenyekiti Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) yaliyofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 05/09/2022.
Post Views:
229
Previous Post
Waziri Mkuu asisitiza uadilifu ujenzi wa mji wa Serikali
Next Post
LHRC yafungua shauri la kupinga utaratibu uliotumika kupitisha tozo za kielektroniki
‘Hakuna mashaka kuhusu ukubwa wa wa Chama Cha Mapinduzi’
Matukio mbalimbali wakati Mkutano Mkuu wa CCM
Wasira ndiye Makamu Mwenyekiti CCM
Lissu ametoa taarifa za uongo, sijatoa rushwa popote – Naftal
JKCI wafundishwa teknolojia ya kisasa ya kuziba matundu ya moyo
Habari mpya
‘Hakuna mashaka kuhusu ukubwa wa wa Chama Cha Mapinduzi’
Matukio mbalimbali wakati Mkutano Mkuu wa CCM
Wasira ndiye Makamu Mwenyekiti CCM
Lissu ametoa taarifa za uongo, sijatoa rushwa popote – Naftal
JKCI wafundishwa teknolojia ya kisasa ya kuziba matundu ya moyo
Kagame ailaani Jumuiya ya Kimataifa kutilia shaka Rwanda
Rais Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu kuelekea mkutano mkuu maalumu wa CCM
Rais Samia ateua na kuhamisha viongozi
Shirikisho la Waandishi wa habari Afrika Mashariki laanzishwa kutetea haki za wanahabari
TLSB: Serikali mwaka huu itatenga fedha nyingi za ununuzi wa vitabu vya ndani
Kwenye uchaguzi wa BAVICHA rushwa ilikuwepo -Wakili Mahinyila
Lema amjibu Wenje, amuita muongo
UNCDF yataka jamii kuelimishwa zaidi matumizi ya nishati safi
Vifo Gaza vyafikia 77 kufuatia mashambulizi ya Israel
NCC yahimiza ujenzi wa majengo salama na yanayozingatia afya ya watumiaji