Rais Samia akiwasili katika mkutano AGRF Jijini Dar es Salaam
JamhuriComments Off on Rais Samia akiwasili katika mkutano AGRF Jijini Dar es Salaam
Rais Samia Suluhu Hassan awasili katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) kwa ajili ya kushiriki Mkutano Mkubwa wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF) Jijini Dar es Salaamiongozi mbalimbali pamoja na wadau wa Kilimo wakiwa kwenye Mkutano wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF) unaofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC)tarehe 07 Septemba, 2023.