KitaifaRais Samia amaliza ziara yake Njombe,aingia Iringa Jamhuri2 years ago2 years ago01 mins Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Wananchi wa Makambako wakati akihitimisha ziara yake ya kikazi tarehe 11 Agosti, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Barabara Sawala-Mkonge-Iyegea km 40.7 Mkoani Iringa kwa kiwango cha Lami tarehe 11 Agosti, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Wananchi wa Makambako baada ya kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Barabara ya Sawala-Mkonge-Iyegea km 40.7 Mkoani Iringa kwa kiwango cha Lami tarehe 11 Agosti, 2022. Post Views: 9 Post navigation Previous: Waziri Sagini ataka kuchukuliwa hatua wasiofuata sheriaNext: Polisi waendelea na oparesheni kali kuzuia uhalifu Dar
Waziri Riziki : Wanawake Tanzania wamewezeshwa manunuzi ya umma kielektroniki Jamhuri3 days ago3 days ago 0
Mafanikio ya ziara ya Rais Samia aliyofanya Doha nchini Qatar na New Delhi India Jamhuri6 months ago6 months ago 0