Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
December 28, 2023
Habari Mpya
Rais Samia atunukiwa Shahada ya Heshima kwa mchango wake wa kuifungua Zanzibar kiuchumi kupitia utalii
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia atunukiwa Shahada ya Heshima kwa mchango wake wa kuifungua Zanzibar kiuchumi kupitia utalii
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwa kutambua mchango wake wa kuifungua nchi kiuchumi kupitia Sekta ya Utalii wakati wa Mahafali ya 19 ya Chuo hicho yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein Kampasi ya Tunguu tarehe 28 Desemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Viongozi pamoja na wageni mbalimbali mara baada ya kutunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu na Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kwa kutambua mchango wake wa kuifungua nchi kiuchumi kupitia Sekta ya Utalii kwenye Hafla ya Mahafali ya 19 ya Chuo hicho yaliyofanyika katika Ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein Kampasi ya Tunguu tarehe 28 Desemba, 2023.
Viongozi pamoja na wageni mbalimbali wakiwa kwenye Hafla ya Mahafali ya 19 ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) yaliyofanyika katika Ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein Kampasi ya Tunguu tarehe 28 Desemba, 2023.
Wahitimu katika ngazi mbalimbali wakiwa kwenye Hafla ya Mahafali ya 19 ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) yaliyofanyika katika Ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein Kampasi ya Tunguu tarehe 28 Desemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Dkt. Aman Abeid Karume katika Ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein Kampasi ya Tunguu walipohudhuria Hafla ya Mahafali ya 19 ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) tarehe 28 Desemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Viongozi pamoja na wageni mbalimbali mara baada ya kutunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu na Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kwa kutambua mchango wake wa kuifungua nchi kiuchumi kupitia Sekta ya Utalii kwenye Hafla ya Mahafali ya 19 ya Chuo hicho yaliyofanyika katika Ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein Kampasi ya Tunguu tarehe 28 Desemba, 2023.
Post Views:
183
Previous Post
Gazeti la Jamhuri Desemba 26, 2023 - Januari 1, 2024
Next Post
Utekelezaji mradi wa umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) wafikia asilimia 94.78
UN yaonya kuwa binadamu wanaathrika na janga la joto kali
Obama amuunga mkono Kamala Harris kuwa rais
Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima vijijini
Iraq: Roketi zafyatuliwa kuelekea kambi ya jeshi la Marekani
Wazazi nchini watakiwa kuwalinda watoto na kuwapa lishe bora
Habari mpya
UN yaonya kuwa binadamu wanaathrika na janga la joto kali
Obama amuunga mkono Kamala Harris kuwa rais
Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima vijijini
Iraq: Roketi zafyatuliwa kuelekea kambi ya jeshi la Marekani
Wazazi nchini watakiwa kuwalinda watoto na kuwapa lishe bora
Viongozi wa Halmashauri watakiwa kusimamia miradi kwa weledi
CCM Njombe, RC Mtaka waridhishwa na ujenzi barabara ya kiwango cha zege Itoli – Ludewa – Manda
Bashungwa: Tumejipanga kuifungua Dar es Salaam
Shahidi aeleza mume wake alivyopigwa na Nathwani mpaka kuzimia
Tanzania yahimiza nchi zipate mikopo nafuu
Vyuo vikuu 15 nje ya nchi kufanya maonyesho Arusha
Utasa unavyogeuka laana kwa wanawake
Samia kusafiri kwa SGR Dar-Dodoma
Tanzania kuwa mwenyeji mkutano wa kimataifa wa barabara
Msafara wa wachezaji wawasili Paris kushiriki Olympic