Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
March 17, 2023
Habari Mpya
Rais Samia azindua Jukwaa la Mifumo ya Chakula Barani Afrika, 2023(Africa Food Systems Forum) Ikulu Jijini Dar es Salaam
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia azindua Jukwaa la Mifumo ya Chakula Barani Afrika, 2023(Africa Food Systems Forum) Ikulu Jijini Dar es Salaam
Viongozi mbalimbali wa Serikali pamoja na Wageni kutoka Nje ya Nchi wakiwa kwenye Mkutano wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Barani Afrika, 2023, (
Africa Food Systems Forum2023
), uliofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Machi, 2023.
Msanii Mrisho Mpoto akitumbuiza katika uzinduzi wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Barani Afrika, 2023 (
Africa Food Systems Forum2023
), Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Ndani na Nje ya Tanzania kabla ya kuzindua Jukwaa la Mifumo ya Chakula Barani Afrika, 2023(
Africa Food Systems Forum 2023
), Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizindua Jukwaa la Mifumo ya Chakula Barani Afrika, 2023 (
Africa Food Systems Forum2023
), Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye ukumbi wa Kikwete Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya Mkutano wa Uzinduzi wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Barani Afrika, 2023(
Africa Food Systems Forum2023
), tarehe 17 Machi, 2023.
Post Views:
131
Previous Post
Polisi wakamata bastola ikiwa na risasi 71
Next Post
Ibada maalumu ya miaka miwili ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano hayati Dkt. John Magufuli
Pwani yapata wauguzi 120 kukabiliana changamoto ya upungufu wa wauguzi
Dk Shukia : Dira ya Taifa ya maendeleo ni mali ya wananchi
Tanzania mwenyeji kongamano Umoja wa Mataifa la utalii wa vyakula vya asili Afrika
Bonanza la Wizara ya Nishati lapamba moto Dodoma
UN yaonya kuwa binadamu wanaathrika na janga la joto kali
Habari mpya
Pwani yapata wauguzi 120 kukabiliana changamoto ya upungufu wa wauguzi
Dk Shukia : Dira ya Taifa ya maendeleo ni mali ya wananchi
Tanzania mwenyeji kongamano Umoja wa Mataifa la utalii wa vyakula vya asili Afrika
Bonanza la Wizara ya Nishati lapamba moto Dodoma
UN yaonya kuwa binadamu wanaathrika na janga la joto kali
Obama amuunga mkono Kamala Harris kuwa rais
Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima vijijini
Iraq: Roketi zafyatuliwa kuelekea kambi ya jeshi la Marekani
Wazazi nchini watakiwa kuwalinda watoto na kuwapa lishe bora
Viongozi wa Halmashauri watakiwa kusimamia miradi kwa weledi
CCM Njombe, RC Mtaka waridhishwa na ujenzi barabara ya kiwango cha zege Itoli – Ludewa – Manda
Bashungwa: Tumejipanga kuifungua Dar es Salaam
Shahidi aeleza mume wake alivyopigwa na Nathwani mpaka kuzimia
Tanzania yahimiza nchi zipate mikopo nafuu
Vyuo vikuu 15 nje ya nchi kufanya maonyesho Arusha