Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
January 21, 2024
Habari Mpya
Rais Samia : Taasisi za dini zina mchango mkubwa katika kujenga taifa lenye watu wema
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia : Taasisi za dini zina mchango mkubwa katika kujenga taifa lenye watu wema
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wageni, viongozi mbalimbali pamoja na Washarika wa Kanisa la Azania Front wakati wa Ibada Maalum ya Kumuingiza kazini Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa iliyofanyika Kanisani hapo Jijini Dar es Salaam tarehe 21 Januari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya picha kutoka kwa Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa mara baada ya Ibada Maalum ya Kumuingiza kazini Askofu huyo iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Azania Front Jijini Dar es Salaam tarehe 21 Januari, 2024.
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa akizungumza wakati wa Ibada Maalum ya Kumuingiza kazini iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Azania Front Jijini Dar es Salaam tarehe 21 Januari, 2024.
Post Views:
164
Previous Post
Diplomasia ya Tanzania yazidi kung'ara kimataifa
Next Post
Baada ya kuwekewa puto Mloganzila nimepungua kutoka kilo 150 hadi 99
Waandishi watatu wa habari wa Lebanon wauawa shambulizi la Israel
Wakuu wa Polisi EAC wajadili uhalifu uliovuka mipaka
Rais Dkt. Samia ateta na Baraza la Mawaziri Zanzibar
Jenerali Mkunda awavisha nishani mbalimbali majenerali Zanzibar
Bilioni 15 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105 Simiyu
Habari mpya
Waandishi watatu wa habari wa Lebanon wauawa shambulizi la Israel
Wakuu wa Polisi EAC wajadili uhalifu uliovuka mipaka
Rais Dkt. Samia ateta na Baraza la Mawaziri Zanzibar
Jenerali Mkunda awavisha nishani mbalimbali majenerali Zanzibar
Bilioni 15 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105 Simiyu
Bwana harusi acharuka
Chad, Jamhuri ya Afrika ya Kati wataka kuunda kikosi mseto cha usalama mpakani
Kuelekea Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini 2024,
Injinia Hersi anyakua tuzo Afrika
Ujenzi bomba la mafuta ghafi la EACOP wafikia asilimia 43.5
Wadau wa kisekta watakiwa kukabiliana na athari za mvua za msimu 2024/25
DRC: M23 wadhibiti tena mji wa Kalembe, mashariki mwa nchi
Samia Kalamu Awards yasogezwa mbele hadi Oktoba 30
Bashungwa amkalia kooni mkandarasi CRSG anayetekeleza ujenzi wa barabara Nyamwage – Utete
Shule ya Kata yaweka historia katika TEHAMA