JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: BAVICHA

BAVICHA:TUTAZUNGUKA NCHI NZIMA KUDAI UHURU WA KUJIELEZA

BARAZA la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha) limedhamiria kuzunguka nchi nzima kuwahamasisha vijana kudai uhuru wa kujieleza ambao wamedai haupo kwa sasa nchini. Hayo yalisemwa jana kwenye mkutano wa wanafunzi wanachama wa chama hicho wa Chuo Kikuu…

BAVICHA WASHANGAA LOWASSA KUMPONGEZA MAGUFULI

BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo – Chadema (Bavicha) limesema limeshtushwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Edward Lowassa, kumpongeza Rais John Magufuli kwa yale anayoyafanya. Akizungumza leo Alhamisi Januari 11, Katibu wa Bavicha, Julius…

BAVICHA WAMTOLEA POVU SHAKA WA UVCCM

Katibu wa Bavicha, Julius Mwita.   BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo – Chadema (Bavicha) limesema limeshangazwa na kauli ya Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Shaka Hamdu Shaka, kuhusu sakata la Mbunge, Tundu Lissu kupigwa risasi. Akizungumza na…