JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: cecafa

Zanzibar Heroes Yaishangaza Tena Dunia, Baada ya Kuwafumua Uganda 2-1

Timu ya Taifa ya Zanzibar , Zanzibar heroes imezidi kuonyesha maajabu yake kwenye michuano ya CECAFA, baada ya leo kuwatoa mabingwa watetezi Ugnada kufuatia kipigo cha 2-1 na kutinga hatua ya fainal ambapo watakutana na timu ya Taifa ya Kenya….

Kilimanjaro Stars Uso kwa uso Na Zanzibar Heroes Michuano ya CECAFA

Timu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kesho Alhamis Desemba 7, 2017 inatupa karata yake ya pili kwenye michuano ya CECAFA dhidi ya Zanzibar Heroes ya Zanzibar kwenye mchezo wa kwanza utakaoanza saa 8.00 mchana kwenye Uwanja wa Kenyatta,…