JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: epl

CRYSTAL PALACE YAIKAZIA MAN CITY

Ligi kuu nchini Uingereza imeendeleaa tena leo kwa mchezo mmoja kati ya Crystal Palce dhidi ya Manchester City, matokeo ya mchezo huo Crystal Palace imefanikiwa kuwakazia Manchester City na kutoka nao sare ya 0 – 0. Katika mchezo huo Crystal…

LIVERPOOL, TOTTENHAM, CHELSEA YATOA VIPIGO, MAN UNITED YASHIKWA SHARUBU NA BURNLEY

Ligi kuu nchini uingereza iliendelea tena jana kwa mechi kazaa ambapo liverpool imeitandika Swansea City kwa magori 5-o, magaori hayo yalifungwa na Roberto Firmino ambaye alifunga magori mawili dakika 52 na 66 , magoli mengine yalifungwa na Trent Alexander-Arnold alifunga…

Jiji la Manchester Leo Mtoto Hatumwi Dukani

Ligi kuu nchini Uingereza leo inaendelea tena ikizikutanisha wapinzani wakubwa kutoka jiji la Manchester, Manchester United na Manchester City ambazo zote zikiwa kwenye mbio za kupigania ubingwa. Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho amesema mchezo mkubwa baina yao na Manchester…