JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: Morocco

MOROCCO BINGWA KOMBE LA CHAN 2018, WAITANDIKA NIGERIA BAKORA 4-0

Michuano ya kombe la Afrika kwa wachezaji wa Ligi za Ndani ( CHAN) imehitimishwa Jumapili kwa ushindi wa wenyeji Morocco waliofanikiwa kulinyanyua taji la michuano hiyo kufuatia ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Nigeria. Mchezaji wa Morocco Zakaria Hadraf alifanikiwa…

MOROCCO YAJITOSA KOMBE LA DUNIA 2026 

NA MTANDAO Morocco imewasilisha rasmi maombi ya kuwa mwenyeji wa michuano ya Kombe la Dunia yanayotarajiwa kufanyika mwaka 2026, huku tayari ikiwa imezindua kampeni ya kuandaa michuano hiyo. Ikumbukwe kuwa hiyo haitakuwa mara ya kwanza kwa taifa hilo la Afrika…